Gerage gani nzuri maeneo ya MBEZI,kimara au UBUNGO

Gerage gani nzuri maeneo ya MBEZI,kimara au UBUNGO

gubegubekubwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2008
Posts
685
Reaction score
962
Wakuu nilikuwa natengeneza passo yangu maeneo ya TABATA huko, sasa naona hawa mafundi hawana utaalam wa kutosha kila Mara wanasema nunua hiki nikinunua tatizo liko palele nahisi ni mafundi uchwara.

Naomba anaye jua garage nzuri yenye mafundi mazoefu, wazuri na waaminifu ili niwe napeleka GARI huko.
NB. Garage iwe MBEZI, kimara au UBUNGO.
 
Back
Top Bottom