pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 50
- 117
Wakuu naombaa kuuliza fremu ya duka Mbezi Luis au Kimara naweza pata kwa shingapi kwa mwenzi maeneo ya barabarani barabarani?
Mkuu kupata frame nzuri, tena kwa mgeni na maeneo hayo, hukwepi madalali, mana wao ndo wana details chumba kipi hakina mtu, unless kamvue mtu mwenyewesawa mkuu nataka senta inzuri nijiegeshe ndio maana nauliza maana uku me nimgeni alafu sitaki kutafuta kwanza madalali