Acha Mbea usije kumharibia akaja kuwa kama kaka yake bwana ndugai alivyozimika katika anga za kisiasa na sasa ni baba wa nyumbani.NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri Mkuu. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Hana sifa hizo. Labda Zitto zuberi k. RUYAGWA.Lolote linawezekana
Vipi na Lukuvi???NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri Mkuu. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Niliwahi kubahatika kukaa nae ni mtu na NusuNa akirudi anarudi wizara nyeti
Wakati Magufuli anaingia madaraka huyu alikua ni shati ndo alitoa Amri kwa tanesco wasiwe wanakata umeme kwa wapinzani wakati wa kampeni Magu akaingia akamtoaHuyo jamaa hakuwahi kuwa waziri wakati wa JK.
Uwaziri wake aliuanzia Kwa JPM akiwa nishati na alidumu Kwa miezi 10 tu kwenye hiyo wizara, akatumbuliwa baada ya mwezi akaenda akawa waziri ofisi ya raisi.
Kwa kifupi hakuna wizara huyu jamaa amekaa zaidi ya miaka 2. Labda awamu hii
Hakuna kitu huyu jamaa ni mchawi 😂😂 uliza majirani zake hapo kinyerezi wakuambie yanayofanyika kwake Mchana kweupeeHuyo ni top kachero
Huyu ni mtu na anaweza kuja kushika nafasi nyeti mtu humble hana makuuHuyu kimaadili ya uongozi na ubinadamu wake huwa namfananisha na mjukuu wangu Mizengo Kayanza Peter Pinda. Hawa watu wakati mwingine unasema pengine walikosea kuingia kwenye Siasa ila walitakiwa wawe viongozi kwenye nyumba zetu za Ibada. Yaani wako kwenye level ile ambayo binadamu wa kawaida kabisa aliyeumbwa na Mungu, anatakiwa kuwa.
Una jicho kali, angalau na wewe umeliona hilo. Huyu mtu mimi pia nampenda sana
Ukiona hivyo ujue ni tiss huyo..NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri Mkuu. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Mtafute mganga wake; hata Wassira alikuwa hivyo. Yupo tu!NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri Mkuu. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Vile viti huwafanya wawe majuha tu. Akili huwarudia wakiachana navyo. Huo u mtu na nusu hutauna popote kama sasa tu ila akistaafu ataandika kitabu kujutia aliyofanya kitini.Niliwahi kubahatika kukaa nae ni mtu na Nusu
alikuwa konda na dereva wa daladalaNI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri Mkuu. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu