Walimu wanafundisha kwa bidii ili wanafunzi washinde.
Wanafunzi wanasoma kwa bidii ili washinde.
Serikali inawekeza pesa ili wanafunzi washinde.
Hii ya kutaka ambao hawakufaulu vizuri imekaaje?
Kama ndivyo, shule za elimu ya juu tunafungua za nini?
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Wanafunzi wanasoma kwa bidii ili washinde.
Serikali inawekeza pesa ili wanafunzi washinde.
Hii ya kutaka ambao hawakufaulu vizuri imekaaje?
Kama ndivyo, shule za elimu ya juu tunafungua za nini?
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app