George Simbachawene, hakupitia JKT?

Walimu wanafundisha kwa bidii ili wanafunzi washinde.
Wanafunzi wanasoma kwa bidii ili washinde.
Serikali inawekeza pesa ili wanafunzi washinde.

Hii ya kutaka ambao hawakufaulu vizuri imekaaje?

Kama ndivyo, shule za elimu ya juu tunafungua za nini?

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa kada wa siku nyingi niliyepitia JKT kwa mwaka mzima, nimesitushwa na majibu ya Mh Simbachawene katika ajira za wasomi Polisi.
Nimelazimika kupitia CV yake iliyo ukurasa wa Bunge, hakuna mahali anaonekana kapitia JKT.


HII NI HATARI!

Majibu aliyotoa leo kipindi cha Dk 45 yanaonyesha kabisa mtu asiye na ufahamu wa basics za ajira za wasomi, hasa Polisi.
Ati msomi wa Div 1 hawezi kulinda benki!!!!
Hivi Simbachawene anajua anaongea nini?
Sisi tuliosoma zamani, tena tulifaulu vizuri, kulinda sehemu nyeti ilikuwa sehemu ya kazi.
Leo kuna majenerali waliofaulu vizuri tu na kulinda sehemu nyeti, ni sehemu ya majukumu ya ulinzi.

Nitashangaa kama Simbachawene ataendelea kuwepo sehemu asiyostahili.

Profile​


0.41642400 1485861053.png



Hon. George Boniface Simbachawene​



Member Type : Constituent Member

Constituent : Kibakwe

Political Party : CCM

Phone : +255755375623

P.O Box : P. O. Box 75112, Dar es Salaam

Email Address : g.simbachawene@bunge.go.tz

Date of Birth : 1968-07-05

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Arusha Technical CollegeFull Technician Certificate19891992FTC
University of DodomaMasters in Public Administration20102013Masters Degree
Open University of TanzaniaLL.B20002005Bachelor Degree
Mazengo Secondary SchoolCSEE19851988Secondary School
Pwaga Primary School-19781982Primary School
Mahomanyika Primary SchoolCPEE19831984Primary School

Employment History :​

Company/InstitutionPositionFromTo
Ministry of Energy and MineralsDeputy Minister20122013
Muzdalifah Charitable DispensaryManaging Director20002001
Urafiki Bus Service-DodomaTransport Officer19952000
Future World Vocational Training CentreTeacher/Instructor19971999
Ministry of LandDeputy Minister20132014
Ministry of Energy and MineralsMinister20142015

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
President's Office Regional Administration and Local GovernmentMinister20152017
Chama cha MapinduziMember of District Political Committee2002Todate
Local Authorities Accounts Committee of the ParliamentMember of the Committee20052010
Administration and Local Governments CommitteeMember20152018
Subsidiary Legislation CommitteeChairman20102012
Constituent AssemblyMember20142014
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20052010
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20102015
Chama cha MapinduziMember of the National General Meeting2005Todate
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20152020
Chama cha MapinduziMember of the Regional Executive Council-Dodoma2005Todate
Chama cha MapinduziMember of the District Executive Council-Mpwapwa2000Todate
Ministry of Home AffairsMinister20202025
Vice President's Office responsible for Union Affairs and EnvironmentMinister20192020
Budget CommitteeChairman20172019
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20202025
Huyu mimi mara zote huwa namuona ni kiongozi mzuri sana na anayo nidhamu hasa ile ya 'kiuongozi', na anaheshimu sana watu anaowaongoza. Huyu tunatakiwa tuendelee naye mpaka 2025 halafu tutaona hapa katikati atakwendaje, kama kweli ana tatizo litadhihirika tu. Hata hivyo, mimi naona mambo mengine yanaweza kuwa ni mitego ya kisiasa tu, watu wengine hawajui kuseleleka maneno mdomoni lakini kazi wanafanya vizuri. Wengine wapo wana maneno mengi matamu utashangilia lakini kazi hamna
Watu wa kazi huwa siyo wazuri sana kwenye majukwaa ya mahojiano, na mara chache sana huwa wanapenda mahojiano. Huyu mtu mimi huwa namuona ni mtu wa kazi, siyo wa maneno na picha za kwenye TV.
Mama amesema tutakwenda kwa mtindo wa matendo makali, na si maneno makali. Simbachawene hana maneno makali. Kama hana maneo makali, je kuna anayeweza kuthibitisha pia kuwa hana matendo makali?
Tuwaombeeni viongozi wetu wamsaidie Mama vizuri, tusiwe kila wakati tunam-prompt Mama ili awabadilishe viongozi. Tuwaacheni wastabilize ili wafanye kazi vizuri, Mama aende nao wote kama walivyo muda huu mpaka hiyo 2025! Baada ya hapo sasa yeye mwenyewe atakuwa amejifunza mengi atafanya kama anavyoona inafaa.
Tusitake sana Mama awe anabadilisha badilisha viongozi, siyo afya sana kwetu sisi tunaoongozwa
 
Aliemteua kapita JKT?
Na kwa manufaa ya wengi, wacha niambatanishe post yangu ya awali hapa...



In short, Simbachawene sio tu amelidhalilisha Jeshi la Polisi, bali Wizara ya Mambo ya Ndani na serikali kwa ujumla...

Ni mtu ambae ningetarajia asubuhi ya October 12 watu wajadili ama kutumbuliwa kwake au ku-resign kwake!! Katikati ya mjadala wa GPO, Simbachawene anatuambia kumbe serikali inaajiri watu wasio na uwezo kielimu na ndo maana wanashindwa kuifahamu hata GPO!
 
Huyu mimi mara zote huwa namuona ni kiongozi mzuri sana na anayo nidhamu hasa ile ya 'kiuongozi', na anaheshimu sana watu anaowaongoza. Huyu tunatakiwa tuendelee naye mpaka 2025 halafu tutaona hapa katikati atakwendaje, kama kweli ana tatizo litadhihirika tu. Hata hivyo, mimi naona mambo mengine yanaweza kuwa ni mitego ya kisiasa tu, watu wengine hawajui kuseleleka maneno mdomoni lakini kazi wanafanya vizuri. Wengine wapo wana maneno mengi matamu utashangilia lakini kazi hamna
Watu wa kazi huwa siyo wazuri sana kwenye majukwaa ya mahojiano, na mara chache sana huwa wanapenda mahojiano. Huyu mtu mimi huwa namuona ni mtu wa kazi, siyo wa maneno na picha za kwenye TV.
Mama amesema tutakwenda kwa mtindo wa matendo makali, na si maneno makali. Simbachawene hana maneno makali. Kama hana maneo makali, je kuna anayeweza kuthibitisha pia kuwa hana matendo makali?
Tuwaombeeni viongozi wetu wamsaidie Mama vizuri, tusiwe kila wakati tunam-prompt Mama ili awabadilishe viongozi. Tuwaacheni wastabilize ili wafanye kazi vizuri, Mama aende nao wote kama walivyo muda huu mpaka hiyo 2025! Baada ya hapo sasa yeye mwenyewe atakuwa amejifunza mengi atafanya kama anavyoona inafaa.
Tusitake sana Mama awe anabadilisha badilisha viongozi, siyo afya sana kwetu sisi tunaoongozwa
Interviw yake Dk45 imemuumbua kiuwezo na kifikra.
Sidhani kama yuko mentally equipped kuongoza wizara nyeti kama aliyonayo.
 
Interviw yake Dk45 imemuumbua kiuwezo na kifikra.
Sidhani kama yuko mentally equipped kuongoza wizara nyeti kama aliyonayo.
Lakini Wizara amekuwa nayo kwa kipindi sasa na hatujawahi kusikia chochote cha ajabu. Kwa hiyo wewe unataka maneno makali badala ya matendo makali, si ndiyo?

Kuna mtu mmoja alikuwa na akili nyingi sana, akaulizwa swali na wanafunzi wake kwamba "mwalimu tufanye nini ili tuweze kuelewa na kuwa wazuri kiakili na kifikra kama ulivyo wewe"? Mwalimu alijibu swali akasema "attention, attention", which was the perfect answer ever ila ukiangalia kwa jicho jingine, the obcvious ni kwamba huyu mwalimu hakujibu swali kwa ufasaha na hivyo kwa akili ya juu juu tu, mtu anaweza kumuona mwalimu kuwa alifeli kujibu swali wakati siyo kweli

Twendeni kwa matendo makali, na si kwa maneno makali; Mama amesema hivyo!
 
Hajui kwamba sasahivi mifumo ya IT ndio inalinda maeneo mengi Mambo ya kutumia mabunduki kulinda bank Ni Mambo ya kizamani Sana.

Cyber security, CCTV na mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ndio kusema Waziri wa Mambo ya ndani aelewi hili?

Ndio maana ukipita makao makuu ya wizara ya Mambo ya ndani unakuta Askari wamebeba mabunduki Sasa pale unalinda Nini baaba ya kuajiri wasomi mkafunga vifaa vya ulinzi .

Pumbavu kabisa!!
Sisiemu hoyeeeee...teh teh
 
Lakini Wizara amekuwa nayo kwa kipindi sasa na hatujawahi kusikia chochote cha ajabu. Kwa hiyo wewe unataka maneno makali badala ya matendo makali, si ndiyo?

Kuna mtu mmoja alikuwa na akili nyingi sana, akaulizwa swali na wanafunzi wake kwamba "mwalimu tufanye nini ili tuweze kuelewa na kuwa wazuri kiakili na kifikra kama ulivyo wewe"? Mwalimu alijibu swali akasema "attention, attention", which was the perfect answer ever ila ukiangalia kwa jicho jingine, the obcvious ni kwamba huyu mwalimu hakujibu swali kwa ufasaha na hivyo kwa akili ya juu juu tu, mtu anaweza kumuona mwalimu kuwa alifeli kujibu swali wakati siyo kweli

Twendeni kwa matendo makali, na si kwa maneno makali; Mama amesema hivyo!
Mkuu kati ya mambo yanayoiumbua wizara ni hii kesi ya ugaidi ya Mbowe.
Kwamba Jeshi la Polisi hadi maofisa hawajui kutumia PGO its a revelation!
Anayesimamia UBORA wa jeshi la Polisi kwa kiasi kikubwa ni wizara.
Sasa kama waxiri msono yake ni kama yale ya katika Dk45 basi we have very low standards.
Wenzetu kama FBI ya Marekani, mlinda benki anaweza kuwa agent aliyewekwa pale kuchunguza issues serious na long term, na ana Div1.

Na kwa mashirika bora kiulinzi duniani polisi siyo tread of the mill tu, ni proffessionals.
Tukikubali ku equate polisi na virungu tu, basi we have very low expectations of our law enforcers.
 
Najaribu Kuwaza.Ila Mama Yetu Samia Naimani hili limemfikia atalifanyia kazi,Mama anatoa mikopo,Mama anaboresha Elimu kujenga Madarasa,kuajili Walimu wapya.Naimani kubwa Wasaidizi wa Mhe.Rais watakuwa wamemshauri kitu Hon.Waziri.Angalau atoke aitolee ufafanuzi kauli yake
Walimu wanafundisha kwa bidii ili wanafunzi washinde.
Wanafunzi wanasoma kwa bidii ili washinde.
Serikali inawekeza pesa ili wanafunzi washinde.

Hii ya kutaka ambao hawakufaulu vizuri imekaaje?

Kama ndivyo, shule za elimu ya juu tunafungua za nini?

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umeeleza haswa wasiwasi wangu. juu ya huyu waziri wetu.
Ni wazi qualifications zake juu ya uwaziri hazijafika kiwango.
Na mbaya zaidi anaongoza wizara inayohitaji mtu ambaye toka ujanani anatakiwa awe ametayarishwa na Taifa.
Mbona vijana kama hao wako wengi tu.
Jamaa hajapitia hata JKT, na anawekwa mahali nyeti, hiyo ni dhambi!

Sisi tukia JKT tulitayarishwa kwa majukumu yoyote kitaifa, uwe una Div 1 au uwe mkulima toka kijijini wa kuingia kwa kujitole.

Waswahili husema , mtu anapofungua mdomo, anafungua na mengi yanayomhusu, hatukujua kuwa Simbachawene hapo alipo yuk chini ya viwangoo vile vilivyotarajiwa.
Hivi mkuu kosa la waziri ni kusema ukweli ama?Mbona Watanzania hatupendi ukweli lakini?
 
Naendelea kumwelewa waziri kwani baada ya depo angejikuta hajasolve tatizo bali kaongeza.
Hao div 1 wangeenda karibu wote kuwa maofisa na askari waliohitajika kwa kazi za kawaida ingeendelea kuwa ni tatizo.

Kuliweka sawa swala hili yatubidi turudi kwenye sera zetu na mifumo yetu iliyotengenezwa tangu zamani. Na tusisahau kuihusisha budget (hela) kwani hauwi bora burebure tu.


Inawezekana kuwa hivi: Askari baada ya kuajiliwa, kwa wale ambao hawakufika vyuo wanapelekwa vyuoni mara baada ya depo halafu ndipo anakuja kulitumikia jeshi.
Div 4 wanatengenezewa utaratibu utakao wapeleka chuo, kisha nao watarudi kulitumikia jeshi.
Hili linawezekana(tatizo hela)

Kama askari wote watakuwa na elimu zinazokaribiana utaratibu wa kuwa maofisa itabidi ubadirishwe ili kuepukana na hii hali ya maaskari wasomi karibia wote wanakuwa maofisa na hivyo kukosa askari wa kazi za kawaida.
 
Na kwa manufaa ya wengi, wacha niambatanishe post yangu ya awali hapa...



In short, Simbachawene sio tu amelidhalilisha Jeshi la Polisi, bali Wizara ya Mambo ya Ndani na serikali kwa ujumla...

Ni mtu ambae ningetarajia asubuhi ya October 12 watu wajadili ama kutumbuliwa kwake au ku-resign kwake!! Katikati ya mjadala wa GPO, Simbachawene anatuambia kumbe serikali inaajiri watu wasio na uwezo kielimu na ndo maana wanashindwa kuifahamu hata GPO!
Siyo GPO ni PGO.
 
Kile kipindi kilirushwa na ITV jana usiku saa tatu,cha ajabu ni kwamba Mh.Waziri mpaka sasa hivi hajaomba msamaha kwa matamshi yake.
Polisi moja ya jukumu lao ni kulinda wananchi na mali zao na tukianza kuwa nyanyapaa....
 
Kama sikosei, wote waliomaliza form kuanzia mwaka 1991 todate hawakupita JKT, Simbachawene anaangukia kundi hilo, check mwaka aliomaliza Technical school, maanake before miaka hiyo ulikua ukimaliza form 6 au technical collage kama alivyo fanya huyu jamaa then jeshini hawakwenda, this include myself, serikali ya Mwinyi ilikua imeelewemewa, hakukua na pesa kabisa so baadhi ya mambo ambayo hayakua ya muhimu sana yaliachwa. Utakumbuka pia ni miaka hiyo hiyo hata nauli zile tulikua tunapewaga wanafunzi wa boarding ziliacha kutolewa hasa kwa wanafunzi waliokua wanatoka nje ya mikoa 2 hadi ilipo shule, baadae ndio wakafuta kabisa. I think waziri wa fedha alikua bwana Steven Kibona
 
yote hii ni kutokana na kukosa kazi, mnaanza kutamani mpaka na kazi za form four failure.
Mkuu unaandika kwa vile una haki hiyo, lakini wewe kama hao failures unaowasema, ambao mko sawa kifikra mnashindwa kuelewa kuwa ulinzi wa nchi hii huwezi kuwaachia
low performers.
 
Nikiwa kada wa siku nyingi niliyepitia JKT kwa mwaka mzima, nimesitushwa na majibu ya Mh Simbachawene katika ajira za wasomi Polisi.
Nimelazimika kupitia CV yake iliyo ukurasa wa Bunge, hakuna mahali anaonekana kapitia JKT.


HII NI HATARI!

Majibu aliyotoa leo kipindi cha Dk 45 yanaonyesha kabisa mtu asiye na ufahamu wa basics za ajira za wasomi, hasa Polisi.
Ati msomi wa Div 1 hawezi kulinda benki!!!!
Hivi Simbachawene anajua anaongea nini?
Sisi tuliosoma zamani, tena tulifaulu vizuri, kulinda sehemu nyeti ilikuwa sehemu ya kazi.
Leo kuna majenerali waliofaulu vizuri tu na kulinda sehemu nyeti, ni sehemu ya majukumu ya ulinzi.

Nitashangaa kama Simbachawene ataendelea kuwepo sehemu asiyostahili.

Profile​


0.41642400 1485861053.png



Hon. George Boniface Simbachawene​



Member Type : Constituent Member

Constituent : Kibakwe

Political Party : CCM

Phone : +255755375623

P.O Box : P. O. Box 75112, Dar es Salaam

Email Address : g.simbachawene@bunge.go.tz

Date of Birth : 1968-07-05

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Arusha Technical CollegeFull Technician Certificate19891992FTC
University of DodomaMasters in Public Administration20102013Masters Degree
Open University of TanzaniaLL.B20002005Bachelor Degree
Mazengo Secondary SchoolCSEE19851988Secondary School
Pwaga Primary School-19781982Primary School
Mahomanyika Primary SchoolCPEE19831984Primary School

Employment History :​

Company/InstitutionPositionFromTo
Ministry of Energy and MineralsDeputy Minister20122013
Muzdalifah Charitable DispensaryManaging Director20002001
Urafiki Bus Service-DodomaTransport Officer19952000
Future World Vocational Training CentreTeacher/Instructor19971999
Ministry of LandDeputy Minister20132014
Ministry of Energy and MineralsMinister20142015

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
President's Office Regional Administration and Local GovernmentMinister20152017
Chama cha MapinduziMember of District Political Committee2002Todate
Local Authorities Accounts Committee of the ParliamentMember of the Committee20052010
Administration and Local Governments CommitteeMember20152018
Subsidiary Legislation CommitteeChairman20102012
Constituent AssemblyMember20142014
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20052010
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20102015
Chama cha MapinduziMember of the National General Meeting2005Todate
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20152020
Chama cha MapinduziMember of the Regional Executive Council-Dodoma2005Todate
Chama cha MapinduziMember of the District Executive Council-Mpwapwa2000Todate
Ministry of Home AffairsMinister20202025
Vice President's Office responsible for Union Affairs and EnvironmentMinister20192020
Budget CommitteeChairman20172019
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20202025
Inawezekana alilala late maana kwa Alvin hakuna jema 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂. Kuchelewa kulala na kazi nzito nzito kunachangia sana kupunguza uwezo wa kufikiri.
Ndio maana wanashauri pombe ilewe kwa walio na miaka 18 na kuendelea na wanataarifu usilewe na kuendesha
 
Back
Top Bottom