TANZIA George Foreman Afariki na Miaka 76

TANZIA George Foreman Afariki na Miaka 76

Mohamed alikua na maneno machafu na mdomo mchafu sana, alimdhalilisha sana Joe Frazier kwa kumuita nyani, yeye akawa anajifananisha na wazungu kisa kua light skin ama kua na light complexion na kusema Joe Frazier ni Nyani kisa yeye ana weusi zaidi kuliko yeye.

Mohamed Ali kwa ujumla alikua mtu wa hovyo. Mohamed Ali na Michael Jackson ni watu ambao jamii ya weusi tunapaswa kuwalaani na kuwakana kwenye jamii yetu. Ni watu wa hovyo kabisa.

Mbona husemi kuwa Muhammad Ali alimuomba radhi Joe Frazier kwa zile "trash talks"? Au hujui kwamba aliwahi ku regret na kuomba radhi?

Halafu eti jamii ya watu weusi wamlaani Ali!!? Wewe unaweza kufanya harakati za kutetea weusi hata kidogo kama za Ali? Wewe una mchango gani kwa watu weusi kumfikia Ali?

Mtu aliyepata misukosuko na hata ku risk career yake kwa sababu ya kukataa kujiunga na Jeshi kwenda kupigana Vietnam.

Siupendi mchezo wa masumbwi wala siuungi mkono ila acha chuki binafsi dhidi ya Muhammad Ali.








Allah Amsamehe madhambi yake na Amrehemu.
 
Huo mchezo wa kupigana ngumi za Kichwani sio mzuri kabisa, Kuna mtu niliwahi kumpiga ya kwenye sikio bahati mbaya

Hadi sasa anapata shida kusikia

Huo mchezo sio mzuri kabisa
Yupo mmoja nimemsahau jina Mmarekani aligeuzwa taahira kabisa,ilipandishwa link yake hapa na mdau imhotep

Mkuu imhotep tusaidie ile link ya jamaa alipigwa konde mpaka leo amekuwa kama ndondocha.
 
Aisee, ndiyo maana Mayweather aliamua kutangaza kustaafu mapema huo mchezo
Mayweather huyo mtoto hajawahi kuguswa huwa anakumbatia kumbatia tu.

Kizazi bora cha ngumi kiliishia kwa Tyson kikaja kufa kabisa kwa wale jamaa ndugu Klitschko's Brothers.
 
Mbona husemi kuwa Muhammad Ali alimuomba radhi Joe Frazier kwa zile "trash talks"? Au hujui kwamba aliwahi ku regret na kuomba radhi?

Halafu eti jamii ya watu weusi wamlaani Ali!!? Wewe unaweza kufanya harakati za kutetea weusi hata kidogo kama za Ali? Wewe una mchango gani kwa watu weusi kumfikia Ali?

Mtu aliyepata misukosuko na hata ku risk career yake kwa sababu ya kukataa kujiunga na Jeshi kwenda kupigana Vietnam.

Siupendi mchezo wa masumbwi wala siuungi mkono ila acha chuki binafsi dhidi ya Muhammad Ali.

Allah Amsamehe madhambi yake na Amrehemu.
Kuomba radhi hakumfanyi mtu kuacha kulaumiwa,kingine kulaumiwa siyo kwamba mtu ana chuki na wewe ni kuambiwa ukweli ili wewe mtendaji uelewe usije ukarudia tena uliyotenda.

Mbona humtetei M Jackson maana amekuwa mentioned hapo,ukijifananisha kwa namna yoyote na ngozi nyeupe lazima tukuone wazimu maana utakuwa unachekesha na ndicho kilichowapata hao mabwana.
 
Mbona husemi kuwa Muhammad Ali alimuomba radhi Joe Frazier kwa zile "trash talks"? Au hujui kwamba aliwahi ku regret na kuomba radhi?

Halafu eti jamii ya watu weusi wamlaani Ali!!? Wewe unaweza kufanya harakati za kutetea weusi hata kidogo kama za Ali? Wewe una mchango gani kwa watu weusi kumfikia Ali?

Mtu aliyepata misukosuko na hata ku risk career yake kwa sababu ya kukataa kujiunga na Jeshi kwenda kupigana Vietnam.

Siupendi mchezo wa masumbwi wala siuungi mkono ila acha chuki binafsi dhidi ya Muhammad Ali.


Allah Amsamehe madhambi yake na Amrehemu.
Vitu vingine kabla hujaandika uwe unatumia akili kufikiria kwanza. Sasa unateteaje watu weusi halafu upande mwingine unawaita watu weusi nyani huku wewe ukijilinganisha na kujifananisha na wazungu ambao ndio wanaowadhalilisha watu weusi kwa kuwaita nyani? Huo ni utetezi wa namna gani?

Huku unawatetea huku unaungana na kauli za watesi wao kuwadhalilisha. Mtu mweusi unamuitaje mweusi wenzako nyani na unaona fahari kabisa?

Kwa mtu yoyote mwenye akili, Ali alikua mtu wa hovyo. Same na Michael Jackson. Watu wa ku glorify uzungu na rangi nyeupe na kuona weusi hauna maana.
 
Mwamba wa masumbwi George Foreman aliyekuwa akiwadumbua wapianzani wake raundi za mwanzo tu na ambaye alitolewa kamasi na Muhammad Ali mwaka 1974 kwenye pambano la Rumble in the Jungle kule Kinshasa Zaire (wakati huo) naye ametangulia mbele ya haki leo muda mfupi uliopita kabla sijaweka post hii.

Sasa George, Joe na Muhammad wataendeleza mjadala huu wtakapokutana tena huko walikofikia


View: https://www.youtube.com/watch?v=IlB-NRQv3OY&t=197s

===
George Foreman, a heavyweight boxing champion who returned to the sport to regain his title at the improbable age of 45, and parlayed his fame and amiable personality into a multimillion-dollar grill business, died on Friday night at a hospital in Houston. He was 76.
His family announced his death on his Instagram account. Roy Foreman, George’s brother, said the cause of death was not known.
When Foreman returned to the ring after 10 years away, there was skepticism that a fighter of his years could beat any younger fighter, much less come back to the top of the game. But in 1994, he beat the undefeated Michael Moorer to reclaim the world title, shocking the boxing world.
Foreman’s career spanned generations: He fought Chuck Wepner in the 1960s, Dwight Muhammad Qawi in the ’80s and Evander Holyfield in the ’90s.

With Joe Frazier and Muhammad Ali, Foreman embodied a golden era in the 1970s, when boxing was still a cultural force in America. The three great champions thrilled fans with one classic bout after another. Foreman was the last living member of the trio.

Source: NewYork Times

Ali ningesema ni Goat kama angekubali re match na George akamkimbia waziwazi
 
Mayweather huyo mtoto hajawahi kuguswa huwa anakumbatia kumbatia tu.

Kizazi bora cha ngumi kiliishia kwa Tyson kikaja kufa kabisa kwa wale jamaa ndugu Klitschko's Brothers.
Ni kama jamaa amekuzwa sana, Kwa mujibu wa ripoti zinaonesha ameshinda mapambano mengi kuliko mabondia wengi wanyuma
 
Yupo mmoja nimemsahau jina Mmarekani aligeuzwa taahira kabisa,ilipandishwa link yake hapa na mdau imhotep

Mkuu imhotep tusaidie ile link ya jamaa alipigwa konde mpaka leo amekuwa kama ndondocha.
Hiyo michezo ni hatari sana, kuna haja wawe wanakatiwa bima kubwa kwaajili ya Ulinzi wa afya zao
 
Mohamed alikua na maneno machafu na mdomo mchafu sana, alimdhalilisha sana Joe Frazier kwa kumuita nyani, yeye akawa anajifananisha na wazungu kisa kua light skin ama kua na light complexion na kusema Joe Frazier ni Nyani kisa yeye ana weusi zaidi kuliko yeye.

Mohamed Ali kwa ujumla alikua mtu wa hovyo. Mohamed Ali na Michael Jackson ni watu ambao jamii ya weusi tunapaswa kuwalaani na kuwakana kwenye jamii yetu. Ni watu wa hovyo kabisa.
ila nyingi zilikua ni zile tambo za mabondia
nje ya hapo jamaa alikua mtu wa maana tu, wala sio wa kumkana au kumlaani
 
ila nyingi zilikua ni zile tambo za mabondia
nje ya hapo jamaa alikua mtu wa maana tu, wala sio wa kumkana au kumlaani
Mzee tambo gani ambazo unadhalilisha race yako na kuwaona weusi wenzako ni nyani? Yaani wewe unaungana na watesi wako kudhalilisha rangi yako nakuiona haina thamani?

Mimi mtu hawa awe ama afanye nini, lakini kama anadhihaki rangi yake ana ya watu wengine huyo ni mavi tu.
 
Mzee tambo gani ambazo unadhalilisha race yako na kuwaona weusi wenzako ni nyani? Yaani wewe unaungana na watesi wako kudhalilisha rangi yako nakuiona haina thamani?

Mimi mtu hawa awe ama afanye nini, lakini kama anadhihaki rangi yake ana ya watu wengine huyo ni mavi tu.
mkuu, wewe ni kama una personal hate na Ali , no offense
labda nikuulize, ukiacha hiyo incident yake na Smokin Joe, unaweza kuweka hate speech against black people hapa tuone
 
mkuu, wewe ni kama una personal hate na Ali , no offense
labda nikuulize, ukiacha hiyo incident yake na Smokin Joe, unaweza kuweka hate speech against black people hapa tuone
No personal issue hapa mkuu. Imagine a black man giving a hate speach against another black man. Hii maana yake amedharau kabisa black race akiwemo na yeye mwenyewe, sasa mtu ambae hata mwenyewe anajidharau anaweza kua mtu wa maana tena kwenye jamii?
 
Back
Top Bottom