Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,310
Hiyo inaonesha Ali alikuwa ni bondia hodari akiwa ulingoniforeman ali sema nili deliver kila kitu, ila bado haku tikisika.
Hiyo inaonesha Ali alikuwa ni bondia hodari akiwa ulingoniforeman ali sema nili deliver kila kitu, ila bado haku tikisika.
yule Jamaa ali kuwa committed kweli kweli, sema ili m cost baadae maana ali kuwa hakwepi makonde ya uso.Hiyo inaonesha Ali alikuwa ni bondia hodari akiwa ulingoni
Yeah, ndiyo maana aliugua muda mrefu kabla hajaaga Duniayule Jamaa ali kuwa committed kweli kweli, sema ili m cost baadae maana ali kuwa hakwepi makonde ya uso.
Sema ndio uanaume, hakuna kirahisi.Yeah, ndiyo maana aliugua muda mrefu kabla hajaaga Dunia
Mwamba wa masumbwi George Foreman aliyekuwa akiwadumbua wapianzani wake raundi za mwanzo tu na ambaye alitolewa kamasi na Muhammad Ali mwaka 1974 kwenye pambano la Rumble in the Jungle kule Kinshasa Zaire (wakati huo) naye ametangulia mbele ya haki leo muda mfupi uliopita kabla sijaweka post hii.
Sasa George, Joe na Muhammad wataendeleza mjadala huu wtakapokutana tena huko walikofikia
View: https://www.youtube.com/watch?v=IlB-NRQv3OY&t=197s
===
George Foreman, a heavyweight boxing champion who returned to the sport to regain his title at the improbable age of 45, and parlayed his fame and amiable personality into a multimillion-dollar grill business, died on Friday night at a hospital in Houston. He was 76.
His family announced his death on his Instagram account. Roy Foreman, George’s brother, said the cause of death was not known.
When Foreman returned to the ring after 10 years away, there was skepticism that a fighter of his years could beat any younger fighter, much less come back to the top of the game. But in 1994, he beat the undefeated Michael Moorer to reclaim the world title, shocking the boxing world.
Foreman’s career spanned generations: He fought Chuck Wepner in the 1960s, Dwight Muhammad Qawi in the ’80s and Evander Holyfield in the ’90s.
With Joe Frazier and Muhammad Ali, Foreman embodied a golden era in the 1970s, when boxing was still a cultural force in America. The three great champions thrilled fans with one classic bout after another. Foreman was the last living member of the trio.
Source: NewYork Times
Hapana alikua ashaanza kuugua hiyo ule ugonjwa wa kutetemekaMuhammad Ali, anaonekana ni mtulivu sana aliyekuwa anaongea Kwa upole sana.
Tofauti na sifa ya mabondia wengi walivyo
Pambano lake na George Foreman, Kwa upande wangu ndilo pambano kali nyakati zile
Ukifatilia vizuri Muhammad ameanza kuumwa seriously mwaka 1979-1980Mbona hapo kwenye hiyo interview alikuwa anaonekana mtulivu sana.
Au atakuwa alishaanza kuumwa?
Huyo ni uzito wa juu.Mwikinyo ana bahati ilibidi angedundwa na huyu
It from there mohamad ali alitake damage. Na akaanza kutetereka. Foreman ni moja ya heavy hit guys, ngumi nzito.Muhammad Ali, anaonekana ni mtulivu sana aliyekuwa anaongea Kwa upole sana.
Tofauti na sifa ya mabondia wengi walivyo
Pambano lake na George Foreman, Kwa upande wangu ndilo pambano kali nyakati zile
Muhamad ali alikua zaid ya mwakinyo kwa maneno na shombo kwa wapinzani wakeMbona hapo kwenye hiyo interview alikuwa anaonekana mtulivu sana.
Au atakuwa alishaanza kuumwa?
Hahaha.......ngoja nitafute clip zake, huenda nimeona video zake alipokuwa tayari mgonjwa.Muhamad ali alikua zaid ya mwakinyo kwa maneno na shombo kwa wapinzani wake
Zitafte kipnd yuko kwenye 20s au cheki series ya Godfather of Harlem.! Wamemuelezea kdgo.Hahaha.......ngoja nitafute clip zake, huenda nimeona video zake alipokuwa tayari mgonjwa.
Alikuwa akiongea Kwa Utulivu Mkubwa sana
Huo mchezo wa kupigana ngumi za Kichwani sio mzuri kabisa, Kuna mtu niliwahi kumpiga ya kwenye sikio bahati mbayaIt from there mohamad ali alitake damage. Na akaanza kutetereka. Foreman ni moja ya heavy hit guys, ngumi nzito.
Ila mwisho wa siku this hawa jamaa ndio wame define boxing
Shukrani, ngoja nizitafuteZitafte kipnd yuko kwenye 20s au cheki series ya Godfather of Harlem.! Wamemuelezea kdgo.
Duh, nahisi zile ngumi za kupigana Kichwani zili mwathiriUkifatilia vizuri Muhammad ameanza kuumwa seriously mwaka 1979-1980
Aisee, ndiyo maana Mayweather aliamua kutangaza kustaafu mapema huo mchezoHapana alikua ashaanza kuugua hiyo ule ugonjwa wa kutetemeka