beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,762
- 2,736
Yaani hela mbuzi wanayolipwa halafu uwakate tena? Inatakiwa mapromota ndio walazimishwe kuwakatia bima mabondia.Nikiwa Kiongozi namba 1 wa hii Nchi, nitaweka Sheria Kila msanii/athletic atakatwa kiasi fulani cha fedha kwaajili ya bima kubwa ya afya pamoja na pension.
Wanapitia hali mbaya sana wakistaafu