TANZIA George Foreman Afariki na Miaka 76

TANZIA George Foreman Afariki na Miaka 76

Ni kweli, Bongo ndiyo hatari zaidi

Maana mabondia wenyewe hata bima za afya wengi hawana

Ukishaanza kuugua hata hela ya matibabu unakosa
Kuna story moja nimesikiliza majuzi mandonga anasema amepambana mapambano, sita ya bila kulipwa ili tu apate "fame"🤔

Anakwambia sometimes mabondia wanapanda ulingoni kupambania elfu sitini just imagine hapo?

Je 60k inaweza sort ni nini kwenye basic needs
 
Kuna story moja nimesikiliza majuzi mandonga anasema amepambana mapambano, sita ya bila kulipwa ili tu apate "fame"🤔

Anakwambia sometimes mabondia wanapanda ulingoni kupambania elfu sitini just imagine hapo?

Je 60k inaweza sort ni nini kwenye basic needs
Duh, hiyo ni hatari sana

Elfu 60??
 
Duh, hiyo ni hatari sana

Elfu 60??
Kuna hii ya twaha kiduku anasema kuna kipindi aliwahi kwenda kwenye sindano kupigania Smartphone ambayo Ata ilkua haizidi laki moja.

Kweli simu Alipata lakini alibondwa vibaya mpaka yeye mwenyewe alitoa machozi "akasema nimemuaga wife nyumbani naenda kupambania iyo simu ulingoni lazima nije" nayo🤔🥶inafikirisha
 
Kuna hii ya twaha kiduku anasema kuna kipindi aliwahi kwenda kwenye sindano kupigania Smartphone ambayo Ata ilkua haizidi laki moja.

Kweli simu Alipata lakini alibondwa vibaya mpaka yeye mwenyewe alitoa machozi "akasema nimemuaga wife nyumbani naenda kupambania iyo simu ulingoni lazima nije" nayo🤔🥶inafikirisha
Hatari sana, yaani una risky Uhai na afya yako kwaajili ya smartphone 🙌
 
Sasa si mapambano father, uzuri ni kazi halali
Nikiwa Kiongozi namba 1 wa hii Nchi, nitaweka Sheria Kila msanii/athletic atakatwa kiasi fulani cha fedha kwaajili ya bima kubwa ya afya pamoja na pension.

Wanapitia hali mbaya sana wakistaafu
 
Muhammad Ali, anaonekana ni mtulivu sana aliyekuwa anaongea Kwa upole sana.

Tofauti na sifa ya mabondia wengi walivyo

Pambano lake na George Foreman, Kwa upande wangu ndilo pambano kali nyakati zile
Mohamed alikua na maneno machafu na mdomo mchafu sana, alimdhalilisha sana Joe Frazier kwa kumuita nyani, yeye akawa anajifananisha na wazungu kisa kua light skin ama kua na light complexion na kusema Joe Frazier ni Nyani kisa yeye ana weusi zaidi kuliko yeye.

Mohamed Ali kwa ujumla alikua mtu wa hovyo. Mohamed Ali na Michael Jackson ni watu ambao jamii ya weusi tunapaswa kuwalaani na kuwakana kwenye jamii yetu. Ni watu wa hovyo kabisa.
 
Poleni wapenzi wa mchezomwa ngumu. forman alikuwa ni mnyama. Ukiangalia mapambano take mawili, ya mwisho mwisho dhidj ma Holyfild na Morrison ndio utajua jamaa alikuwa ni mgumu kwa kiasi gani.
Holyfield alimpiga ngumi nyingi za nguvu lakini jamaa alisimama imara. Aliishia kupoteza kwa point ila referee alipaswa kusimamisha pambano kumwokao forman.
Yote kwa yote mwemba atabaki kuwa m1 kati ya mabondia bora wa wakati wote.

R.I.P MWAMBA
 
Mohamed alikua na maneno machafu sana, alimdhalilisha sana Joe Frazier kwa kumuita nyani, yeye akawa anajifananisha na wazungu kisa kua light skin ama kua na light complexion na kusema Joe Frazier ni Nyani kisa yeye ana weusi zaidi kuliko yeye.

Mohamed Ally kwa ujumla alikua mtu wa hovyo.
Aisee, kumbe ubaguzi ulianza kitambo kwenye michezo 🙌

Bora miaka hii, Kuna Kampeni nyingi za kujaribu kupunguza
 
Aisee, kumbe ubaguzi ulianza kitambo kwenye michezo 🙌

Bora miaka hii, Kuna Kampeni nyingi za kujaribu kupunguza
Imagine mtu mweusi anamuita mweusi mwenzake Nyani, kisa yeye ana ka light skin kama demu, anaita mwanaume mweusi eti nyani.

Ali alikua mtu wa hovyo ambae jamii yoyote ya watu wastaarabu walitakiwa kutomzungumzia kwa lolote.
 
Imagine mtu mweusi anamuita mweusi mwenzake Nyani, kisa yeye ana ka light skin kama demu, anaita mwanaume mweusi eti nyani.

Ali alikua mtu wa hovyo ambae jamii yoyote ya watu wastaarabu walitakiwa kutomzungumzia kwa lolote.
Hakufanya sahihi aisee

Ana bahati miaka ile hakukuwa na social networks kama sasahivi, watu wangeendesha Kampeni ya kumpinga hadi angeomba radhi
 
Mohamed Ali, alikua na kelele sana, muongeaji na activist - labda alipoanza kuumwa
"On the last week i murdered a rock injured a stone hospitalized a brick am so mean i make medicine sick"Muhammad Ali
 
Imagine mtu mweusi anamuita mweusi mwenzake Nyani, kisa yeye ana ka light skin kama demu, anaita mwanaume mweusi eti nyani.

Ali alikua mtu wa hovyo ambae jamii yoyote ya watu wastaarabu walitakiwa kutomzungumzia kwa lolote.
Usimfananishe Ali na wengine

Ali is the greatest
 
Imagine mtu mweusi anamuita mweusi mwenzake Nyani, kisa yeye ana ka light skin kama demu, anaita mwanaume mweusi eti nyani.

Ali alikua mtu wa hovyo ambae jamii yoyote ya watu wastaarabu walitakiwa kutomzungumzia kwa lolote.

Wewe una chuki binafsi tu na Muhammad Ali
 
R.i.p George,
Kesho Siri ya mbele kabisa KARIMJEE
 
Back
Top Bottom