George Floyd (RIP) ni nani, alikuwa anajishughulisha na nini?

Taarifa za wazi zinaonyesha kwamba mwamba huyu aliuliwa na askari wa Marekani , hilo sina shaka nalo hata chembe , lakini je mtu huyu aliyeamsha hasira kali dunia nzima alikuwa anajishughulisha na nini?

Natanguliza shukrani.

Aliwahi kuwa mcheza filamu za ngono lakini aliacha na mpaka mauti yanamkuta alikuwa ni baunsa katika club/ ukumbi wa starehe!

Alikuwa amesimamishwa kazi kutokana na kufungwa shughuli zote kunakotokana na madhara ya corona!

Boss wake wa mwisho kabisa alihojiwa na kusema jamaa alikuwa mtu wa dini na mtu poa sana, hana tatizo na mtu!
 
Back
Top Bottom