Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,119
Taarifa za wazi zinaonyesha kwamba mwamba huyu aliuliwa na askari wa Marekani , hilo sina shaka nalo hata chembe lakini je mtu huyu aliyeamsha hasira kali dunia nzima alikuwa anajishughulisha na nini?
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.