George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

Ngareroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
2,144
Reaction score
2,513
Habari Wakuu..Me ni Shabiki mkubwa wa Basketball,Lakini Pia Nafuatilia sana Soka,,Nakubali Sana Uchambuzi Wa Kimpira Wa Kina, Nasri Khalfan, George Job, Hans Rafael, George Magunga, Farhan Kihamu, Evodius Oscar,Jemedari Said Kazumari, Geof Leah na Derrick Lissu,,

Ni Wachambuzi Wazuri Sana Lakini Kuna Hiki Kichwa, George Ambangile (Coach) Always Huwa nawaza Why Hapewi Timu Ainoe? Au hana leseni? Maana kuna Kipindi Nilimsikia Jemedari Said Kazumari Akisema Ambangile kuna course alikuwa anaichukua Pale TFF,,,

,IQ ya Ambangile kuhusu Mpira ni kubwa mno sijawahi kuona hapa TZ, Anani'inspire nqmimi kutaka kuanza kuchambua Soka,Kawa improved zaidi katika ufundi wa mpira,Yuko BRIGHT sana katika TACTICS PRESENTANTION and TECHNIQUES OF FOOTBALL EXPRESSIONS,,Jamaa Akianza kuchambua mpira kama hukuangalia mechi but inakuwa kama game uliicheki..Duh..!!Kina Hans Rafael Uchambuzi wao ni Facts and Expression of soka mentality, George Magunga wa Pale Crown FM anapita sana njia za Ambangile,,Sijui kwanini Simba,Yanga au Azam hawamtumii huyu mchizi katika mambo yao ya kimpira?..
1000166009.jpg
Naombeni kujua Before Wasafi Ambangile alikuwa media gani? Na hii Elimu kubwa ya Soka kaipatia wapi?Au ndo kaitoa kwa Mwalimu wake Oscar Milambo Mkurugenzi wa Ufundi Pale TFF?, ila sidhani maana ata Milambo Mwenyewe haoni ndani kwa Ambangile😁😁
 
Habari Wakuu..Me ni Shabiki mkubwa wa Basketball,Lakini Pia Nafuatilia sana Soka,,Nakubali Sana Uchambuzi Wa Kimpira Wa Kina, Nasri Khalfan, George Job, Hans Rafael, George Magunga, Farhan Kihamu, Evodius Oscar,Jemedari Said Kazumari, Geof Leah na Derrick Lissu,,

Ni Wachambuzi Wazuri Sana Lakini Kuna Hiki Kichwa, George Ambangile (Coach) Always Huwa nawaza Why Hapewi Timu Ainoe? Au hana leseni? Maana kuna Kipindi Nilimsikia Jemedari Said Kazumari Akisema Ambangile kuna course alikuwa anaichukua Pale TFF,,,

,IQ ya Ambangile kuhusu Mpira ni kubwa mno sijawahi kuona hapa TZ, Anani'inspire nqmimi kutaka kuanza kuchambua Soka,Kawa improved zaidi katika ufundi wa mpira,Yuko BRIGHT sana katika TACTICS PRESENTANTION and TECHNIQUES OF FOOTBALL EXPRESSIONS,,Jamaa Akianza kuchambua mpira kama hukuangalia mechi but inakuwa kama game uliicheki..Duh..!!Kina Hans Rafael Uchambuzi wao ni Facts and Expression of soka mentality, George Magunga wa Pale Crown FM anapita sana njia za Ambangile,,Sijui kwanini Simba,Yanga au Azam hawamtumii huyu mchizi katika mambo yao ya kimpira?..View attachment 3441596Naombeni kujua Before Wasafi Ambangile alikuwa media gani? Na hii Elimu kubwa ya Soka kaipatia wapi?Au ndo kaitoa kwa Mwalimu wake Oscar Milambo Mkurugenzi wa Ufundi Pale TFF?, ila sidhani maana ata Milambo Mwenyewe haoni ndani kwa Ambangile😁😁

kwakuwa Azam wanapita hapa wataweza kumchukua Ila nachojua jamaa yupo vizuri na anajua anachofanya .
 
Kila kitu ni kusoma sana hayupo hivyo kwa bahati mbaya.

Hiyo ni kazi yake so lazima achimbe sana ili kupata kitakachomfanya kuonekana kesho na wadau wa tasnia anayoitumikia,kuwa mchambuzi wa jambo fulani Tanzania hii ambayo kila mtu anajifanya analijua zaidi ya wengine inahitaji utulivu ili ukizungumza uonekane tofauti na wao.
 
kwakuwa Azam wanapita hapa wataweza kumchukua Ila nachojua jamaa yupo vizuri na anajua anachofanya .
Mkuu kuuchambua mpira baada ya kuchezwa ni tofauti na kufundisha kabla ya kwenda kukutana na timu pinzani.

Ukocha ni kazi ngumu sana sidhani sijui hata kama huwa wanapata muda wa kurelax, maana kutengeneza setup ya timu na kupata pattern sio rahisi, na vile vile kuzifahamu mbinu za mpinzani unaekutana naye na Kuweza kumshinda yaaani hapo ni zaidi ya kubet
 
Ambangile alikuwa Magic Fm ambapo hakuanza kama Mchambuzi alianza kama mtu nyuma ya Camera na Mic maana kitaaluma kasoma Computer science japo advance kasoma PCB


Ambangile ndie mchambuzia aleijikita kwenye ufundi zaidi na sio siasa na historia ya mpira kama hao akina Jemedari and Co namfananisha na Ali kamwe yule wa Mambo 10!!
 
Kabla ya Wasafi FM alikuwa Magic FM, halafu kuuchambua mpira sio Kuweza kufundisha, kuna Gary Neville ana leseni Ya Ukocha na alishawahi kupewa timu ya La Liga Valencia CF alishindwa vibaya mpaka timu ilikaribia kushuka daraja.
Oooh kumbe alikuwa Magic FM..ko anaweza pewa timu aaf ikashindwa fanya vizuri pia
 
Alikuwa magic FM alikuwa anagawa madini usiku saa 2 miaka kadhaa nyuma
Magic FM ni radio ya sisiemu kule ni Kama TBC utalipwa mshahara Ila hakuna career development .

Kuna Dada alikuwa anaitwa Anna Peter alikuwa EA-radio alipomaliza kusoma Degree yake akaamua kuingia TBC naona ndo kilikuwa kifo chake while she was too talented .

Kama angeenda hata CloudsFM angekuwa na jina kubwa Sana na angepata deals kubwa Sana .
 
Mkuu kuuchambua mpira baada ya kuchezwa ni tofauti na kufundisha kabla ya kwenda kukutana na timu pinzani.

Ukocha ni kazi ngumu sana sidhani sijui hata kama huwa wanapata muda wa kurelax, maana kutengeneza setup ya timu na kupata pattern sio rahisi, na vile vile kuzifahamu mbinu za mpinzani unaekutana naye na Kuweza kumshinda yaaani hapo ni zaidi ya kubet
Ambangile mwenyewe anakwambia aliwahi kusema Jurgen Klopp au Guardiola kwamba Hakuna Mchambuzi mbaya baada ya mechi..ila yeye huwa anachambua vizuri mno kabla mechi haijachezwa
 
Bonge la mchambuzi au kasema unayopenda kusikia?

Uchambuzi ni kazi ya kibabaishaji ukisema wanachopenda wengi kuskia ndo unaitwa mchambuzi mzuri, ukisema ukweli unaoumiza unaitwa mchambuzi wa mchongo
 
Baba yake mdogo na dickison Job wa yanga

Jamaa alienda kumchomoa mwanae Job shule kwa nguvu na kumpeleka kwenye soka

Leo hii wanakula matunda tu
 
Magic FM ni radio ya sisiemu kule ni Kama TBC utalipwa mshahara Ila hakuna career development .

Kuna Dada alikuwa anaitwa Anna Peter alikuwa EA-radio alipomaliza kusoma Degree yake akaamua kuingia TBC naona ndo kilikuwa kifo chake while she was too talented .

Kama angeenda hata CloudsFM angekuwa na jina kubwa Sana na angepata deals kubwa Sana .
Kumbe Anna peter aliendaga TIBISII!!

Kwa kifupi aliacha kiatu kikali akakimbilia kuvaa mdosho😂😂
 
Ambangile alikuwa Magic Fm ambapo hakuanza kama Mchambuzi alianza kama mtu nyuma ya Camera na Mic maana kitaaluma kasoma Computer science japo advance kasoma PCB


Ambangile ndie mchambuzia aleijikita kwenye ufundi zaidi na sio siasa na historia ya mpira kama hao akina Jemedari and Co namfananisha na Ali kamwe yule wa Mambo 10!!
Oooh duh kumbe alikuwa anaenda kuwa Doctor 😷...Alikuwa nyuma ya mic na camera yaani Producer wa kipindi na director/cameraman au?..Yees yupo ktk ufundi zaidi..Propaganda za soka ye hazitaki kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom