Hello, everyone
Hope mko poa, siku kazaa zimepita niliitisha Kikao Cha ladies. kutaka kujua kwanini mala nyingi hua haiwezekani kushare mwanaume[emoji848] wapo waliorespond raha ya mume muwe zaid ya mmoja!! wapo waliobisha kabisa[emoji2955] wengine Hadi nimewaona pm wakieleezea kwa hisia Kali sana.
Sasa nawaita wenye nyumba, mi hua naamin wanawake ni jeshi kubwa but mwanaume ni general of the army.
Kabla sijasimulia nilichotaka kusimulia na kusema ninachotaka kusema naomba niwaulize,
Nyie kwenu ni ndoa ipi mnaipendelea ya mke mmoja au ya mke zaidi ya mmoja?