barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Na lowassa mlisema hivyo hivyo, watu wakachinja! Bungeni labda poo ya kupiga kelele, sababu hata nguvu ya kuzuia mswada upinzani hawana! Au poo ipi wamaanisha?Tukutane bungeni kama hamjaomba poo
Mbunge mmoja wa ukawa ni sawa na wabunge 10 wa CCM