Genge la Wanafiki wa CHADEMA

Genge la Wanafiki wa CHADEMA

GENGE LA WANAFIKI WA CHADEMA NA WAFUASI WAO WAKAPIMWE AKILI?.
-------------------------------------------------
Tangu asubuhi Leo vijana wa CHADEMA wametokwa na mishipa ya shingo Kumshambulia Zitto eti ni Mnafiki kwa kuwa aliwahi kuisifu kazi Ya kamishina mstaafu wa TRA Kitilya.

Hii ni baada ya kamishna huyo kuonekana sehemu ya kampuni ya EGM inayohusishwa na Utapeli wa bilioni 16 za mkopo.

Hivi nyie CHADEMA mlifikiri Zitto anaweza kujua yaliyo moyoni mwa Kitilya?.. Zitto alisifu utendaji kazi wa Kitilya ambao kila mtanzania aliuona na sio makando kando yake. Ni Kitilya na wenzake ndio wa kujieleza kwanini wameshiriki udanganyifu huo (kama wameshiriki). Na kumuacha Zitto aendelee na majukumu yake..

Eti Zitto Mnafiki.

Hivi unaweza Kumlinganisha Zitto Na Mbowe kwa unafiki?...Mbowe aliyesimama kidete Kumtukana LOWASSA na baadae kumsafisha?.

Mmesahau Mbowe alivyorudisha gari la BUNGE (KUB) kwa mbwembwe na bashasha akijidai anaunga mkono kubana matumizi na kulichukua tena kimyakimya

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na Lissu wa CHADEMA kwa unafiki?...Lissu aliyeshirikiana na Slaa kusoma Orodha ya Mafisadi na Kumtukana Lowassa mpaka matusi ya Nguoni?.

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto Na Mnyika wa CHADEMA kwa unafiki?..mnyika aliyetamba kuwa na Ushahidi wa UFISADI wa Lowassa na kuishia kumnadi kama Rais?..

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na MSIGWA wa CHADEMA kwa Unafiki?..Msigwa aliyetaka wanaomuunga Mkono Lowassa wapimwe akili na yeye mwenyewe akaishia kumnadi bila aibu.

Unaweza kumlinganisha Zitto na Lema wa CHADEMA kwa unafiki?.

Lema aliyesema ni Heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Lowassa kwa maana ni FISADI na baadae yeye mwenyewe kunadiwa na FISADI namba 9 katika orodha ya chadema?..

Umaweza kumlinganisha Zitto na CHADEMA kwa unafiki, CHADEMA walioweka orodha ya MAFISADI katika mtandao wao kwa miaka 8 na kuiondoa ghafla baada ya chama kununuliwa na Fisadi namba 9?...

CHADEMA waliogoma kuacha kupokea posho za vikao na kumuacha zitto peke yake aendelee kutokuzipokea na wao kuramba pesa za walipa kodi.

CHADEMA kwa sasa ndio kisima cha Wanafiki waliojificha kwenye wimbi la ukamanda.

Achaneni na Zitto fanyeni yenu na wanafiki wenzenu pamoja na mafisadi wenu mliowatoa CCM.

Habibu Mchange
0762178678
Dar es salaam.

Unaosha mbwa makalio mabwana zako wameshasema mtaisoma namba.
 
ni upumbavu mtupu chadema kumsema zitto muwe na aibu basi wachen akili za KUKU nyie mlimsema lowassa mwiz badae mkasema sio mwiz tena mkamtetea uku mkitoka povu leo mnashangaa nn kwa zitto pumbafuu sana chadema
 
hiv awa chadema ni timamu kweli? awa siwalimsema lowassa mwiz badae wakamsafisha kwao sawa kwa wenzao sio sawa chadema ni wanafiki na wambeya
 
Hivi Machange unamjua Zitto unayemtetea au unataka tu kula hela zake? Unajua kwamba Zitto alikuwa akimshawishi Lowassa ahamie ACT wazalendo kabla kwenda Chadema? Zitto kwa unafiki alishaanza kujitapa kuwa atakuwa Waziri mkuu Lowassa akiwa rais. Hujui kuwa ACT iliomba kuingizwa kwenye Ukawa ikakataliwa, walitaka nini huko kama wanamtambua Lowassa ni fisadi?
Kwa taarifa yako hayo ni maneno ya mkosaji tu.
 
Tukutane bungeni kama hamjaomba poo
Mbunge mmoja wa ukawa ni sawa na wabunge 10 wa CCM
Endeleeni kujifariji tu,zama hizo zimeshapita.
Hao wabunge wa kukaa wanazomea zomea tu kila jambo wamepitwa na wakati.
 
Endeleeni kujifariji tu,zama hizo zimeshapita.
Hao wabunge wa kukaa wanazomea zomea tu kila jambo wamepitwa na wakati.

Kua CCM LAZIMA UJITOE AKILI
BILA WAPINZANI UFISADI WA SERIKALI ANGEUIBUA NAPE??
 
GENGE LA WANAFIKI WA CHADEMA NA WAFUASI WAO WAKAPIMWE AKILI?.
-------------------------------------------------
Tangu asubuhi Leo vijana wa CHADEMA wametokwa na mishipa ya shingo Kumshambulia Zitto eti ni Mnafiki kwa kuwa aliwahi kuisifu kazi Ya kamishina mstaafu wa TRA Kitilya.

Hii ni baada ya kamishna huyo kuonekana sehemu ya kampuni ya EGM inayohusishwa na Utapeli wa bilioni 16 za mkopo.

Hivi nyie CHADEMA mlifikiri Zitto anaweza kujua yaliyo moyoni mwa Kitilya?.. Zitto alisifu utendaji kazi wa Kitilya ambao kila mtanzania aliuona na sio makando kando yake. Ni Kitilya na wenzake ndio wa kujieleza kwanini wameshiriki udanganyifu huo (kama wameshiriki). Na kumuacha Zitto aendelee na majukumu yake..

Eti Zitto Mnafiki.

Hivi unaweza Kumlinganisha Zitto Na Mbowe kwa unafiki?...Mbowe aliyesimama kidete Kumtukana LOWASSA na baadae kumsafisha?.

Mmesahau Mbowe alivyorudisha gari la BUNGE (KUB) kwa mbwembwe na bashasha akijidai anaunga mkono kubana matumizi na kulichukua tena kimyakimya

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na Lissu wa CHADEMA kwa unafiki?...Lissu aliyeshirikiana na Slaa kusoma Orodha ya Mafisadi na Kumtukana Lowassa mpaka matusi ya Nguoni?.

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto Na Mnyika wa CHADEMA kwa unafiki?..mnyika aliyetamba kuwa na Ushahidi wa UFISADI wa Lowassa na kuishia kumnadi kama Rais?..

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na MSIGWA wa CHADEMA kwa Unafiki?..Msigwa aliyetaka wanaomuunga Mkono Lowassa wapimwe akili na yeye mwenyewe akaishia kumnadi bila aibu.

Unaweza kumlinganisha Zitto na Lema wa CHADEMA kwa unafiki?.

Lema aliyesema ni Heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Lowassa kwa maana ni FISADI na baadae yeye mwenyewe kunadiwa na FISADI namba 9 katika orodha ya chadema?..

Umaweza kumlinganisha Zitto na CHADEMA kwa unafiki, CHADEMA walioweka orodha ya MAFISADI katika mtandao wao kwa miaka 8 na kuiondoa ghafla baada ya chama kununuliwa na Fisadi namba 9?...

CHADEMA waliogoma kuacha kupokea posho za vikao na kumuacha zitto peke yake aendelee kutokuzipokea na wao kuramba pesa za walipa kodi.

CHADEMA kwa sasa ndio kisima cha Wanafiki waliojificha kwenye wimbi la ukamanda.

Achaneni na Zitto fanyeni yenu na wanafiki wenzenu pamoja na mafisadi wenu mliowatoa CCM.

Habibu Mchange
0762178678
Dar es salaam.

....naona like zote umepewa na
"wandani"wenu ccm, hivi nje ya haya makelele unayopiga kuhusu Chadema una kazi yoyote ya kukuingizia kipato? au mpk ujikombe kwa msaliti akugawie chochote? unaonaje basi hata ukaenda kujiimarisha zaidi kule kibaha angalau uongeze zile kura 3000 ulizopata?
Mtt wa kiume usipende kutumika hovyo, madhara yake ni mabaya sn!
 
unazungumzia mchange kutumika ww kweli chiz wakina mbowe na msigwa wale ni wanawake? mbona walitumika na lowassa unaugonjwa wa kusahau kama kuku ww jd41
 
act ni tawi la ccm kwahyo walimnyima hata kura elfu 5 hakupata huyu mpuuzi
mchange asahau kuja kuwa mbunge labda mwenyekiti wa act maana ni rahisi sana

Hivi unajua Chadema kuwa ni saccos iliyonunuliwa na Mzee lower sir......??
 
Wape wamezoea vya kunyonga hao vya kuchinja hawawezi,manyumbu ndo kazi yao ilibaki kushambulia watu ,Sera wameishiwa,biashara imedoda

Hawa nyumbu wa chadema hawana wimbo wa kuimba wanasubiri akina M.b.o.w.e watunge wimbo mpya waanze kuuimba maana ule wa ufisadi walipigwa stoo kuuimba..... !!!!
 
hiv awa chadema ni timamu kweli? awa siwalimsema lowassa mwiz badae wakamsafisha kwao sawa kwa wenzao sio sawa chadema ni wanafiki na wambeya

...imamu; umesahau mlishaanza kumkaribisha lowassa kwenye chama chenu cha kichawi?! bahati mbaya hakuja huko, ndio mkaanza kubinua midomo juu na vidole juu fisadi fisadi, wakati mnamkaribisha hamkujua kama ni fisadi?!
#salamaleko!
 
Jadilini hoja za unafiki wa mbowe, lema, mnyika, msigwa....naona mmehamia kwenye personal attack kwa Mchange na kukwepa hoja....
 
Kwabahati mbaya leo nilikuwa safari hawa kenge walio leta ujuha kumtukana zitto! HAKUNA MAJUHA KAMA CDM MAISHA, HAKUNA MAZUZU KAMA CDM DUNIANI, HAKUNA WASAKA TONGE KAMA CDM ULIMWENGUNI, Mijitu inajua kusubiria matukio na si sera paka hawa!
 
Kwabahati mbaya leo nilikuwa safari hawa kenge walio leta ujuha kumtukana zitto! HAKUNA MAJUHA KAMA CDM MAISHA, HAKUNA MAZUZU KAMA CDM DUNIANI, HAKUNA WASAKA TONGE KAMA CDM ULIMWENGUNI, Mijitu inajua kusubiria matukio na si sera paka hawa!
sasa haya matusi ya nini? Mtu mwenyewe unajiita moto chini, endelea kuwashiwa moto huko chini.siasa achia wenye akili.
 
Hizi fact za mchange kule kwenye boxing tunaita Power Punch
 
yuda ni yuda tu.. huwezi kumwita Petro..mchange.. punguza njaa.. 2010 si uliuza ww na 2015 umeuza tena? ndoroooobo we

Kwa wenye akili timamu....hamna mtu mwenye sifa ya kufanana na yuda atajayemfikia Mbowe......unamdhalilisha Slaa kisa pesa za fisadi Lowasa?....

Haiyumkini ndio maana mnaitwa Nyumbu
 
GENGE LA WANAFIKI WA CHADEMA NA WAFUASI WAO WAKAPIMWE AKILI?.
-------------------------------------------------
Tangu asubuhi Leo vijana wa CHADEMA wametokwa na mishipa ya shingo Kumshambulia Zitto eti ni Mnafiki kwa kuwa aliwahi kuisifu kazi Ya kamishina mstaafu wa TRA Kitilya.

Hii ni baada ya kamishna huyo kuonekana sehemu ya kampuni ya EGM inayohusishwa na Utapeli wa bilioni 16 za mkopo.

Hivi nyie CHADEMA mlifikiri Zitto anaweza kujua yaliyo moyoni mwa Kitilya?.. Zitto alisifu utendaji kazi wa Kitilya ambao kila mtanzania aliuona na sio makando kando yake. Ni Kitilya na wenzake ndio wa kujieleza kwanini wameshiriki udanganyifu huo (kama wameshiriki). Na kumuacha Zitto aendelee na majukumu yake..

Eti Zitto Mnafiki.

Hivi unaweza Kumlinganisha Zitto Na Mbowe kwa unafiki?...Mbowe aliyesimama kidete Kumtukana LOWASSA na baadae kumsafisha?.

Mmesahau Mbowe alivyorudisha gari la BUNGE (KUB) kwa mbwembwe na bashasha akijidai anaunga mkono kubana matumizi na kulichukua tena kimyakimya

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na Lissu wa CHADEMA kwa unafiki?...Lissu aliyeshirikiana na Slaa kusoma Orodha ya Mafisadi na Kumtukana Lowassa mpaka matusi ya Nguoni?.

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto Na Mnyika wa CHADEMA kwa unafiki?..mnyika aliyetamba kuwa na Ushahidi wa UFISADI wa Lowassa na kuishia kumnadi kama Rais?..

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na MSIGWA wa CHADEMA kwa Unafiki?..Msigwa aliyetaka wanaomuunga Mkono Lowassa wapimwe akili na yeye mwenyewe akaishia kumnadi bila aibu.

Unaweza kumlinganisha Zitto na Lema wa CHADEMA kwa unafiki?.

Lema aliyesema ni Heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Lowassa kwa maana ni FISADI na baadae yeye mwenyewe kunadiwa na FISADI namba 9 katika orodha ya chadema?..

Umaweza kumlinganisha Zitto na CHADEMA kwa unafiki, CHADEMA walioweka orodha ya MAFISADI katika mtandao wao kwa miaka 8 na kuiondoa ghafla baada ya chama kununuliwa na Fisadi namba 9?...

CHADEMA waliogoma kuacha kupokea posho za vikao na kumuacha zitto peke yake aendelee kutokuzipokea na wao kuramba pesa za walipa kodi.

CHADEMA kwa sasa ndio kisima cha Wanafiki waliojificha kwenye wimbi la ukamanda.

Achaneni na Zitto fanyeni yenu na wanafiki wenzenu pamoja na mafisadi wenu mliowatoa CCM.

Habibu Mchange
0762178678
Dar es salaam.

....huyu mchange ana maumivu makali ya wao act kuanguka vibaya kwenye uchaguzi wa 2015.....kwa kelele zao kabla ya uchaguzi kwa kweli sasa wana haki ya kuumia sana sana...maana ni zitto kati yao aliyepata ubunge....na sasa wanaona chadema ndio walisababusha wao kuanguka vibaya ...kwa kumpokea lowassa...hili hata zitto mwenyewe kakiri...

...hawa kina mchange ni wapiga filimbi wa zitto ambao ni losers....wamebaki kumpigia filimbi zitto...
 
NYUMBU ni CCMscrow. Kwa miaka 50 wametumia maigizo wakidhani yataleta maendeleo. Na wafuasi wake wameendelea kusifia kama MAPIMBI!!

Sasa yameanza maigizo mapya, MANYUMBU ya CCMscrow kama kawaida kusifia.

Baadae wakishagundua ni fiksi, wanaanza kutafuta vijimaneno kujiliwaza.
 
Ndugu Mchange, kumbe Mtela Mwampamba ni CHADEMA? Kweli ulistahili kipigo cha Kibaha Mjini. Mwaka huu wananchi hawakukuchangia pesa za rufaa kwa kuogopa kuwa ungefanya kama 2010.

Ukweli unawauma....amewapiga power punch.... Kushindwa kwake haimaanishi kua alichosema ni uongo....

Mmemuuzia Lowasa chama na mkamdhalilisha mzee Slaa...mungu amewalipa hapa hapa duniani...

Ufisadi unazungumzwa nyie na fisadi wenu mmefichama huku mkikosa agenda.....mnabakia kumuandama zitto.....

Haitasaidia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom