Genge la Wanafiki wa CHADEMA

Genge la Wanafiki wa CHADEMA

katika orodha ya wanasiasa wanafiki duniani,zito kabwe anaweza kushika no moja,zito huyu,huyu ndio aliyemwaga sifa lukuki kikwete,ambye leo kwa watu wenye nia njema na nchi hii,wanashauri ashitakiwe kwa kufilisi nchi,lkn zito huyu huyu anamsifu tena magufuli,kweli zito ni kemeo
 
GENGE LA WANAFIKI WA CHADEMA NA WAFUASI WAO WAKAPIMWE AKILI?.
-------------------------------------------------
Tangu asubuhi Leo vijana wa CHADEMA wametokwa na mishipa ya shingo Kumshambulia Zitto eti ni Mnafiki kwa kuwa aliwahi kuisifu kazi Ya kamishina mstaafu wa TRA Kitilya.

Hii ni baada ya kamishna huyo kuonekana sehemu ya kampuni ya EGM inayohusishwa na Utapeli wa bilioni 16 za mkopo.

Hivi nyie CHADEMA mlifikiri Zitto anaweza kujua yaliyo moyoni mwa Kitilya?.. Zitto alisifu utendaji kazi wa Kitilya ambao kila mtanzania aliuona na sio makando kando yake. Ni Kitilya na wenzake ndio wa kujieleza kwanini wameshiriki udanganyifu huo (kama wameshiriki). Na kumuacha Zitto aendelee na majukumu yake..

Eti Zitto Mnafiki.

Hivi unaweza Kumlinganisha Zitto Na Mbowe kwa unafiki?...Mbowe aliyesimama kidete Kumtukana LOWASSA na baadae kumsafisha?.

Mmesahau Mbowe alivyorudisha gari la BUNGE (KUB) kwa mbwembwe na bashasha akijidai anaunga mkono kubana matumizi na kulichukua tena kimyakimya

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na Lissu wa CHADEMA kwa unafiki?...Lissu aliyeshirikiana na Slaa kusoma Orodha ya Mafisadi na Kumtukana Lowassa mpaka matusi ya Nguoni?.

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto Na Mnyika wa CHADEMA kwa unafiki?..mnyika aliyetamba kuwa na Ushahidi wa UFISADI wa Lowassa na kuishia kumnadi kama Rais?..

Hivi unaweza kumlinganisha Zitto na MSIGWA wa CHADEMA kwa Unafiki?..Msigwa aliyetaka wanaomuunga Mkono Lowassa wapimwe akili na yeye mwenyewe akaishia kumnadi bila aibu.

Unaweza kumlinganisha Zitto na Lema wa CHADEMA kwa unafiki?.

Lema aliyesema ni Heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Lowassa kwa maana ni FISADI na baadae yeye mwenyewe kunadiwa na FISADI namba 9 katika orodha ya chadema?..

Umaweza kumlinganisha Zitto na CHADEMA kwa unafiki, CHADEMA walioweka orodha ya MAFISADI katika mtandao wao kwa miaka 8 na kuiondoa ghafla baada ya chama kununuliwa na Fisadi namba 9?...

CHADEMA waliogoma kuacha kupokea posho za vikao na kumuacha zitto peke yake aendelee kutokuzipokea na wao kuramba pesa za walipa kodi.

CHADEMA kwa sasa ndio kisima cha Wanafiki waliojificha kwenye wimbi la ukamanda.

Achaneni na Zitto fanyeni yenu na wanafiki wenzenu pamoja na mafisadi wenu mliowatoa CCM.

Habibu Mchange
0762178678
Dar es salaam.

Duuh pure fact
 
Chadema kwa sasa ndio kwaheri,maana baada ya msiba wa mawazo hawana hoja ya kufanyia siasa,serikali ya Magufuli hawapati gepu la kukosoa,
wanakurupuka kutaka waendelee kumshikia akili zitto kama wakati ule walipokuwa wanahangaika kumfukuza.

wamepanic baada ya Mafisadi kuukosaa Urais.

Zitto wala asiwajibu hawa mataahira wa chagadema,Mchange anawatosha.

watuambie kwanza ilikuwaje fisadi akawa mkombozi wa taifa.
 
Wafasi wa chadema sawa na mzoga,wanaangaika kuupaka panyumu ili unukie vizuri,lkn haiwezekani
Walipiga kelele juu ya ufisadi sasa hivi ukitaka ufisadi wananuna kwa nini?

....wakati Act wanamtaka Lowassa hawakujua kama ni fisadi??
 
Sioni mtu mshenzi na mnafiki zaid ya mbowe ulimwengu huu
Angekuwa mnafiki wala usingehangaika naye! Amewashika pabaya magamba na washirika wake ndio maana huishi kubinua makalio hapa jamvini kila saa! Mbona wanafiki akina Zitto kila mtu kawapotezea?
 
Angekuwa mnafiki wala usingehangaika naye! Amewashika pabaya magamba na washirika wake ndio maana huishi kubinua makalio hapa jamvini kila saa! Mbona wanafiki akina Zitto kila mtu kawapotezea?
Huna lakunieleza wewe nenda kamfulie kaptula lowassa ndio kazi yako, kasha kutumia kipindi cha uchaguzi huna lolote mmeambulia kuuza sura
 
Huna lakunieleza wewe nenda kamfulie kaptula lowassa ndio kazi yako, kasha kutumia kipindi cha uchaguzi huna lolote mmeambulia kuuza sura

MOTOCHINI vumilieni upinzani iko hivyo popote duniani ukizingatia wa kwetu huu hauko fair.
 
Ukweli unawauma....amewapiga power punch.... Kushindwa kwake haimaanishi kua alichosema ni uongo....

Mmemuuzia Lowasa chama na mkamdhalilisha mzee Slaa...mungu amewalipa hapa hapa duniani...

Ufisadi unazungumzwa nyie na fisadi wenu mmefichama huku mkikosa agenda.....mnabakia kumuandama zitto.....

Haitasaidia
tuonyeshe risiti ya aliyopewa lowassa kwa kunnua chadema,wote tumeona sifa alizomwagiwa fisadi ktilya na mpiga dili zitto!huyu zitto ana tuhuma nyingi sana kiasi kwamba kumtetea inabidi uwe na akili mbovu kama za akina mchange na unknown you!
 
Mchange kaongea ukweli kabisaaa, Ukweli Kitilya kafanya makubwa sana pale TRA na yanaonekana, suala la ufisadi moyo kiza kinene.Bila habari hizi kuibuliwa nadhani hakuna ambaye angejua kuwa jamaa alihusika na ufisadi.

Tumuache Zitto afanye kazi yake, awatumikie watanzania tunaomhutaji.

Zitto ni jembe huwezi kulinganisha na chadema yeyote. Period.

Ulitegemea Mchange aseme nini? Kama hivyo ndiyo vidonge, basi havina maana. Kila mwanasiasa ni mnafiki kwa wakati wake
 
another whistle blower blowing the whistle to guards,protect someone from shame action made from his own statement ,statement is clear showing what the guy zitto was arguing about the kitilya ,nothing to protect ,nothing to hide from this action ,do not throwing stone to glass housemadefrom while yours is the same ,

Mkuu bora ungeandika kiswahili tu. Achana na lugha za watu.
 
tuonyeshe risiti ya aliyopewa lowassa kwa kunnua chadema,wote tumeona sifa alizomwagiwa fisadi ktilya na mpiga dili zitto!huyu zitto ana tuhuma nyingi sana kiasi kwamba kumtetea inabidi uwe na akili mbovu kama za akina mchange na unknown you!

Weka ushahidi kuthibitisha tuhuma hizo unazoziita nyingi kwa zitto....hii ishu ya stanbic Bashir Awale ambaye ndiye alikua mwanamkakati mkuu wa Lowasa katika kampeni mwaka huu ndie aliyefanikisha dili....baadae akafukuzwa kazi. Huyu awale baadae akafukuzwa kwenda Kenya.

Sinare naye amehusika, ambaye ni mshirika wa moja kwa moja kwenye kampeni za lowasa....na hizo hela zilizopigwa zimetumika kwenye kampeni za cdm.....hii ishu ikija kumalizika cdm wataumbuka zaidi....

Kumsifia mtu kwa utendaji hakumaanishi utasifia ubovu wake.....zitto bado yupo sahihi.

Nyie nyumbu msiotaka kushirikisha bongo zenu mtamsema zitto ilhal dili ya stanbic imefanikishwa na washirika wa lowasa..........
 
Weka ushahidi kuthibitisha tuhuma hizo unazoziita nyingi kwa zitto....hii ishu ya stanbic Bashir Awale ambaye ndiye alikua mwanamkakati mkuu wa Lowasa katika kampeni mwaka huu ndie aliyefanikisha dili....baadae akafukuzwa kazi. Huyu awale baadae akafukuzwa kwenda Kenya.

Sinare naye amehusika, ambaye ni mshirika wa moja kwa moja kwenye kampeni za lowasa....na hizo hela zilizopigwa zimetumika kwenye kampeni za cdm.....hii ishu ikija kumalizika cdm wataumbuka zaidi....

Kumsifia mtu kwa utendaji hakumaanishi utasifia ubovu wake.....zitto bado yupo sahihi.

Nyie nyumbu msiotaka kushirikisha bongo zenu mtamsema zitto ilhal dili ya stanbic imefanikishwa na washirika wa lowasa..........
kwa hiyo zitto kumsifia kitilya katika kipindi ambacho ndio pesa imepigwa na akina kitilya unaona sawa tu!!!!hayo mambo ya pesa za stanbic kufadhili cdm ni assumptions tu but we know with facts zitto alisifia ufisadi wa kitilya.
 
Hiyo number sasa ya nn watu kwa siasa bana tushachoka na huo usenge...rema wenu kula wanakula wengine sisi tunaungua jua pumbavuu

Kama Topic imekuburudisha, unaweza mtunza mwandishi kupitia hiyo namba.
 
MOTOCHINI vumilieni upinzani iko hivyo popote duniani ukizingatia wa kwetu huu hauko fair.
Uwe fair wakati wapinzani hampo fair! mnanunuliwa kirahisi na kumtumikia shetani mtegemee ushindi wacheni uzezeta
 
Back
Top Bottom