Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda.
-Kama si kweli basi kuna haja ya watu wanaohusika na Intelijensia kwa viongozi ya usalama na vetting kuwajibika kuanzia TISS mpaka jeshi la polisi.
-Mpaka muda huu sidhani kama OCD wa hai anapaswa kuwa ofisini kwa hili suala la mkuu na swahiba wake.
-Tume ya maadili ya watumishi wa umma mmetukosea sana watanzania, KUWAJIBIKA NI MUHIMU SANA
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda.
-Kama si kweli basi kuna haja ya watu wanaohusika na Intelijensia kwa viongozi ya usalama na vetting kuwajibika kuanzia TISS mpaka jeshi la polisi.
-Mpaka muda huu sidhani kama OCD wa hai anapaswa kuwa ofisini kwa hili suala la mkuu na swahiba wake.
-Tume ya maadili ya watumishi wa umma mmetukosea sana watanzania, KUWAJIBIKA NI MUHIMU SANA