Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,403
Kuna kitu lazima mamlaka zijifunze leo na hata kesho kea manufaa ya Dada na ya baadae
Gen Z sio kizazi cha wafia dini.. In fact hawako serious kabisa na dini.. Wana tafsiri za kushangaza kuhusu dini, na wameshuhudia mambo mabovu na ya kutisha kwenye dini kuliko kwenye sehemu ambazo si za dini
Wengi wana 'question' kuhusu uhalisia wa dini na uwepo wa Mungu.. Kinachotokea ulaya ndio kinakuja Afrika... Dini zinapoteza maana
Badala yake wanaibuka watu binafsi kwa gia za unabii na utume(manabii na mitume) ambao wameshasoma mchezo na kupiga ndefu
Gen Z hawataki habari za uzima wa milele wala habari za kiama.. Wanataka miujiza! Wanataka matokeo..
Bongo zao zimekuwa inserted na mafanikio ya haraka ya pesa, mali na vitu vinavyoonekana kama magari, majumba mazuri mavazi ya gharama nknk ! Ndio maana wamejazana kwa watenda miujiza
Ukiwaona wamejazana mahali pa dini basi ujue ni zile za matamasha ambako kina mavazi free style na vibes za mila aina.. Ama kuna miujiza ya uponaji na mafanikio ya kimaisha
Gen Z sio wanasiasa hasa wenye mrengo wa kijamaa.. Hiki ni kizazi cha kibepari.. Kizazi cha bata na starehe.. Kazi kidogo mafanikio makubwa na ya fasta
Kuna kitu cha kipekee sana kinawaunganisha. Na sio siasa wala dini.. Kuna namna yao ya kuwaza, na kutenda.. In short wako positive sana!
Wameshuhudia kwa maumivu makubwa
Waliowaamini kama watu wa Mungu na washika dini ndio hao hao, waliowabaka, waliowalawiti, walio cheat kwenye ndoa zao ndio wauaji, wapiga dili waongo wanafiki na wazandiki wakubwa
Wameshuhudia wakihubiriwa upendo na amani kwa ncha ya upanga na mabunduki
Wameshuhudia wahubiri upendo na amani ndio watesaji na wauaji wakubwa
Hawana imani nao.. Ha wawa amin I linapokuja suala la upendo na amani
Wameshasaidiana wao kwa wao na kuvushana katika hali ngumu na za hatari kuliko hao washika dini na wana siasa!
Gen Z ni dini mpya, no itikadi mpya ni ushirikiano mpya ni mshikamano mpya visivyoyumbishwa na itikadi chovu za kidini.. Wasichukuliwe poa
Gen Z sio kizazi cha wafia dini.. In fact hawako serious kabisa na dini.. Wana tafsiri za kushangaza kuhusu dini, na wameshuhudia mambo mabovu na ya kutisha kwenye dini kuliko kwenye sehemu ambazo si za dini
Wengi wana 'question' kuhusu uhalisia wa dini na uwepo wa Mungu.. Kinachotokea ulaya ndio kinakuja Afrika... Dini zinapoteza maana
Badala yake wanaibuka watu binafsi kwa gia za unabii na utume(manabii na mitume) ambao wameshasoma mchezo na kupiga ndefu
Gen Z hawataki habari za uzima wa milele wala habari za kiama.. Wanataka miujiza! Wanataka matokeo..
Bongo zao zimekuwa inserted na mafanikio ya haraka ya pesa, mali na vitu vinavyoonekana kama magari, majumba mazuri mavazi ya gharama nknk ! Ndio maana wamejazana kwa watenda miujiza
Ukiwaona wamejazana mahali pa dini basi ujue ni zile za matamasha ambako kina mavazi free style na vibes za mila aina.. Ama kuna miujiza ya uponaji na mafanikio ya kimaisha
Gen Z sio wanasiasa hasa wenye mrengo wa kijamaa.. Hiki ni kizazi cha kibepari.. Kizazi cha bata na starehe.. Kazi kidogo mafanikio makubwa na ya fasta
Kuna kitu cha kipekee sana kinawaunganisha. Na sio siasa wala dini.. Kuna namna yao ya kuwaza, na kutenda.. In short wako positive sana!
Wameshuhudia kwa maumivu makubwa
Waliowaamini kama watu wa Mungu na washika dini ndio hao hao, waliowabaka, waliowalawiti, walio cheat kwenye ndoa zao ndio wauaji, wapiga dili waongo wanafiki na wazandiki wakubwa
Wameshuhudia wakihubiriwa upendo na amani kwa ncha ya upanga na mabunduki
Wameshuhudia wahubiri upendo na amani ndio watesaji na wauaji wakubwa
Hawana imani nao.. Ha wawa amin I linapokuja suala la upendo na amani
Wameshasaidiana wao kwa wao na kuvushana katika hali ngumu na za hatari kuliko hao washika dini na wana siasa!
Gen Z ni dini mpya, no itikadi mpya ni ushirikiano mpya ni mshikamano mpya visivyoyumbishwa na itikadi chovu za kidini.. Wasichukuliwe poa