Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ktk hali ya kusikitisha mkuu wa zamani wa jwtz Mrisho sarakikya amepanda jukwaani kumwombea kura sioi wa ccm huko arusha! Je ni sawa?
Huyu mzee ni nani huko Arumeru ? Ni uzee tu wa jeshini au ni kiongozi wa Kimila ?