Gen Nyamwasa - Kagame government days are numbered

Gen Nyamwasa - Kagame government days are numbered

MUKAMASIMBA na KOBA njooni kumtetea Baba yenu Kagame.
 
Nafikiri kwenye mwezi wa 9 hivi nilisema kuhusu hizi allegations za Kagame kwamba watu (wanyarwanda) wengi wanamchukia ila kwa kuwa wanaogopana wanashindwa kutamka hadharani kwani wanahofia maisha yao. Nakwendaga Kigali mara kwa mara (biashara) kuna baadhi ya watu wananiambiaga mabaya ya huyu mtu na wanasema kabisa kuna watu wanamuwinda ili wamuue na siku zake zinahesabika kwani jamaa kaua watu wengi sana.
 
Mkuu Kiranga, si nasikia kuna clause fulani kwenye mahazimio ya AU inayo katakaza Wanajeshi kuongoza nchi! Au inahusu "Coup d'état"?

AU is a joke. Wanajeshi wana hijack nchi kwa coups halafu wanashinda chaguzi kwa vitisho, sio tu wanakubalika AU, wanaenda mpaka kushika uongozi.

Back in the days when it was OAU mpaka Idi Amin kashawahi kuwa mwenyekiti.

Elder statesman wao alikuwa Gaddafi.
 
Kumbe Kagame kakoswa koswa mara kadhaa kufa Vitani halafu eti atoke kwa kupata Vema chache kwenye MAKARATASI YA TUME YA uCHAGUZI?!! Hata ningekuwa mie Sitoki anafanya kama Museven alisema yeye ni Kotapini i.e aliingia kwa nguvu ya Nyundo na anatoka kwa Nguvu ya Nyundo.
 
Ngoja Koba na murutongore waje hapa

[h=5]"Show me a man with no enemies and I will show you a man with no MISSION no PURPOSE no PASSION and no COURAGE. Having a few enemies is EVIDENCE you are actually ALIVE and not dreaming!!"- SCOT GOODKNIGHT[/h]"If people are criticizing what you say or do that's GOOD. It means you aren't hiding out with all the sheeple. Having a few enemies is just a sign you have a purpose. Proceed on your mission Heroes." SCOT GOODKNIGHT

Endelea Kuchapa kazi Raisi wangu. Kagame wacu. Turamukunda.
 
PK tunamsema mambo mengi, mengine yana ukweli ndani yake lakini mengine ni uzushi mtupu! Mfano: Huyu Gen Nyamwasa kutaka kutoa impression kwamba PK ni mtu COWARD hii haina ukweli wowote, hivi mtu unaweza kujificha kwenye migomba watu wakashindwa kumuona! Angesema msituni au kwenye swamps ningeweza kumuelewa. Kitu kingine kama kweli Kagame alikuwa anachukiwa na majeshi ya RPF aliwezaje kuwashinda wenzake KETE na kuteuliwa Kiongozi wao wa mapambano - hata kama Kagame hajasoma sana lakini ana karama ya Uongozi na actually kusoma sana akumanizishi una uwezo wa kuongoza wenzako.

Fred alipo uwawa Kagame alikuwa bado yuko masomoni Merikani, sasa kama Gen Nyamwasa alikuwa na uwezo wa kuongoza mapambano kwa nini wenzake waliona kuna umuhimu wa Kagame kukatisha masomo yake na kuja kuongoza jeshi lao - hii inatoa impression gani kuhusu uwezo wa kiuongozi kati ya Majenerali hawa wawili i.e PK na Nyamwasa?

Niliwahi kumuona PK anatembea kwa miguu akiongoza wenzake kwenda mstali wa mbele huku ameshikilia AK47, na kama nakumbuka vizuri ndio alikuwa amatoka masomoni Merikani kuja kuongoza jeshi lao - mbona sikumuona Gen Nyamwasa au yeye alikuwa anaongoza platoon/brigade nyingine!!! Si hilo tu niliwahi vile vile kuona picha ya PK iliyo pigwa huko DRC wakati wa harakati za kumuondoa Mobutu, kwenye picha alikuwepo Kabila Jr wakati huo Kabila Jr alionekana mdogo sana kiumri! Katika picha hiyo Kagame alionekana wazi wazi ndie alikuwa incharge - sasa haya madai ya kusema eti "PK ni mtu MWOGA sana" yanatoka wapi!!
 
PK tunamsema mambo mengi, mengine yana ukweli ndani yake lakini mengine ni uzushi mtupu! Mfano: Huyu Gen Nyamwasa kutaka kutoa impression kwamba PK ni mtu COWARD hii haina ukweli wowote, hivi mtu unaweza kujificha kwenye migomba watu wakashindwa kumuona! Angesema msituni au kwenye swamps ningeweza kumuelewa. Kitu kingine kama kweli Kagame alikuwa anachukiwa na majeshi ya RPF aliwezaje kuwashinda wenzake KETE na kuteuliwa Kiongozi wao wa mapambano - hata kama Kagame hajasoma sana lakini ana karama ya Uongozi na actually kusoma sana akumanizishi una uwezo wa kuongoza wenzako.

Fred alipo uwawa Kagame alikuwa bado yuko masomoni Merikani, sasa kama Gen Nyamwasa alikuwa na uwezo wa kuongoza mapambano kwa nini wenzake waliona kuna umuhimu wa Kagame kukatisha masomo yake na kuja kuongoza jeshi lao - hii inatoa impression gani kuhusu uwezo wa kiuongozi kati ya Majenerali hawa wawili i.e PK na Nyamwasa?

Niliwahi kumuona PK anatembea kwa miguu akiongoza wenzake kwenda mstali wa mbele huku ameshikilia AK47, na kama nakumbuka vizuri ndio alikuwa amatoka masomoni Merikani kuja kuongoza jeshi lao - mbona sikumuona Gen Nyamwasa au yeye alikuwa anaongoza platoon/brigade nyingine!!! Si hilo tu niliwahi vile vile kuona picha ya PK iliyo pigwa huko DRC wakati wa harakati za kumuondoa Mobutu, kwenye picha alikuwepo Kabila Jr wakati huo Kabila Jr alionekana mdogo sana kiumri! Katika picha hiyo Kagame alionekana wazi wazi ndie alikuwa incharge - sasa haya madai ya kusema eti "PK ni mtu MWOGA sana" yanatoka wapi!!

Mkuu huwezi kuwa muoga ukawa kiongozi wa Rwanda. Hiyo haipo. Kagame ni binadamu na binadamu yeyote ana mapungufu. Nimejaribu sana kuwaambia kuwa situation ya Rwanda ni tofauti na situation ya nchi yeyote duniani except Israel. Sio kwamba tunataka kujifananisha na wa israel lakini situation yao ni kwamba wapalestina wakipata nafasi wanawamaliza waisrael wote. Vivo hivyo, wahutu wakipata nafasi watataka kutumaliza. Hiyo ndio nia yao.

Kagame ni kiongozi visionary ambae haogopi kufanya maamuzi magumu. Mara nyingine hayo maamuzi hayawafurahishi watu lakini kwa kiasi kikubwa ni kwa manufaa ya taifa lake. Matunda ya maamuzi yake hayawezi kuonekana na kizazi hiki lakini ipe miaka kumi ishirini mbele ndio watu wataanza kuona matunda ya kazi anayoifanya.

Huyu raisi ni wa pekee katika ukanda huu. Yeye sio mwanasiasa. Yeye ni kiongozi anaeongoza nchi kwa vitendo. Hawa akina Nyamwasa ni watu ambao wameshindwa kwenda na kasi yake ndio maana akaondoka.
 
"Show me a man with no enemies and I will show you a man with no MISSION no PURPOSE no PASSION and no COURAGE. Having a few enemies is EVIDENCE you are actually ALIVE and not dreaming!!"- SCOT GOODKNIGHT

"If people are criticizing what you say or do that's GOOD. It means you aren't hiding out with all the sheeple. Having a few enemies is just a sign you have a purpose. Proceed on your mission Heroes." SCOT GOODKNIGHT

Endelea Kuchapa kazi Raisi wangu. Kagame wacu. Turamukunda.

I guess Iddi Amin died a hero to you judging by the number of his enemies.
 
Kabla hajamtusi JK nilikuwa naona ni kiongozi wa mfano alinichukiza kwa kukurupuka tu hata Wa tanzania wengi tulimuheshimu..... ukiacha hilo.... Warwanda wamuheshimu Rais wao kawafanyia mambo mengi mazuri.
 
Mkuu huwezi kuwa muoga ukawa kiongozi wa Rwanda. Hiyo haipo. Kagame ni binadamu na binadamu yeyote ana mapungufu. Nimejaribu sana kuwaambia kuwa situation ya Rwanda ni tofauti na situation ya nchi yeyote duniani except Israel. Sio kwamba tunataka kujifananisha na wa israel lakini situation yao ni kwamba wapalestina wakipata nafasi wanawamaliza waisrael wote. Vivo hivyo, wahutu wakipata nafasi watataka kutumaliza. Hiyo ndio nia yao.

Kagame ni kiongozi visionary ambae haogopi kufanya maamuzi magumu. Mara nyingine hayo maamuzi hayawafurahishi watu lakini kwa kiasi kikubwa ni kwa manufaa ya taifa lake. Matunda ya maamuzi yake hayawezi kuonekana na kizazi hiki lakini ipe miaka kumi ishirini mbele ndio watu wataanza kuona matunda ya kazi anayoifanya.

Huyu raisi ni wa pekee katika ukanda huu. Yeye sio mwanasiasa. Yeye ni kiongozi anaeongoza nchi kwa vitendo. Hawa akina Nyamwasa ni watu ambao wameshindwa kwenda na kasi yake ndio maana akaondoka.


Kama hiyo ndo nia yao inakuaje kwenye uchaguzi Kagame anapata ushindi wa kishindo wakati wahutu ni wengi kuliko nyinyi?
 
Mkuu Morinyo ndio ushangae kunaripoti niliisoma juzi wamarekani wameistukia serekali ya Kagame kwa kuvuruga uchaguzi ili chama chake kishinde uchaguzi mkuu.

Kama hiyo ndo nia yao inakuaje kwenye uchaguzi Kagame anapata ushindi wa kishindo wakati wahutu ni wengi kuliko nyinyi?
 
Last edited by a moderator:
Halafu kuna watu, kutoka Bill Clinton mpaka baadhi ya Watanzania, wanamsifia sana Kagame.

Let us be objective...Kagame ni kiongozi anayefaa, matokeo ya kazi yake yanaonekana. Inawezekanma njia anayotumia si nzuri, lakini paka anayekamata panya ndio anayefaa...
 
Kama hiyo ndo nia yao inakuaje kwenye uchaguzi Kagame anapata ushindi wa kishindo wakati wahutu ni wengi kuliko nyinyi?

Read between the line. Nikisema wahutu simaanishi wananchi wa kawaida ninamaanisha wahutu wenye siasa kali. akina mokala1989
 
"Show me a man with no enemies and I will show you a man with no MISSION no PURPOSE no PASSION and no COURAGE. Having a few enemies is EVIDENCE you are actually ALIVE and not dreaming!!"- SCOT GOODKNIGHT

"If people are criticizing what you say or do that's GOOD. It means you aren't hiding out with all the sheeple. Having a few enemies is just a sign you have a purpose. Proceed on your mission Heroes." SCOT GOODKNIGHT

Endelea Kuchapa kazi Raisi wangu. Kagame wacu. Turamukunda.

give answers and not some mumbo jumbo cra.p!!!
is general Nyamwasa genocide sympathizer as it is your preferred excuses???? the days of him killing for fun are over!!!
 
Let us be objective...Kagame ni kiongozi anayefaa, matokeo ya kazi yake yanaonekana. Inawezekanma njia anayotumia si nzuri, lakini paka anayekamata panya ndio anayefaa...

"matokeo ya kazi yake" unayosema huwa anayapika si ya ukweli, huyu bwana anachofanya ni kucheza na media na kutuonyesha kitu ambacho anajua tunataka kusikia. Ndio maana hakuna uhuru wa habari Rwanda, kwa sababu siku international media itakapofanya kazi kwa uhuru, yote tunayoyasikia yatabainika kuwa uwongo.

Rwanda is a dictatorship kama ilivyo North Korea. Kuwepo kwa barabara za lami mbili tatu kwa ajili ya picha za CNN, hakuondoi tatizo la msingi. We jiulize kwa nini warwanda wanaongoza kwa kuishi ukimbizini na hawataki kurudi kwao: uganda, congo, burundi, zambia, angola, south afrika, ulaya na marekani ndio usiseme! hata hawa wakimbizi haramu tuliowatoa kwetu, baadhi walikimbilia Uganda sio kwao Rwanda! why?
 
Back
Top Bottom