Gen Nyamwasa - Kagame government days are numbered

Gen Nyamwasa - Kagame government days are numbered

Mkuu kama Maj Gen Fred Rwigema asingeuwawa mapema kwenye mazingiza ya kutatanisha - Rwanda insingetumbukia kwenye mauuaji ya halahiki yaliyo sababishwa na kutunguliwa kwa ndege ya Habyarimana, Fred asingeruhusu mauaji ya kikatili ya Rais wawili (Rwanda na Burundi) nina hakika PK anajua wazi chanzo cha genocide kilisababishwa na nini - hilo huwa alisemi. Maj Gen Fred alikwa na busara sana na hakuwa na papara, binafsi na amini angehakikisha Rwanda inatawaliwa kijeshi kwa muda, alafu baadae angekabidhi madaraka kwa raia - wananchi wa Rwanda wangeishi kwa amani bila ya kuleta imani za kikabila. Kilicho nishangaza kidogo kwenye mahojiano ya Gen Nyamwasa na mwandishi wa habari ni kule kutogumzia chochote kuhusu kwa nini Maj Gen Fred aliuwawa karibu mpakani mwa Rwanda na Uganda hata kabla hawajapambana na maadui wake (majeshi ya Habyarimana), sasa kama kabila lenyewe wanafikia hatua ya kuuana wenyewe kwa wenyewe tuna uhakika gani kama Gen Nyamwasa akichukua usukani mauuaji ya kulipiza visasi yatakoma nchini Rwanda?
Shida ya hawa watutsi ni kwamba, kuua kuko katika damu yao nadhani!...ndo mana hata kuuana wao kwa wao hawaoni shida kabisa; sasa hivi wanaionyesha dunia kuwa wao ni watu wa aina gani!.... wale waliowaonea huruma juu ya tukio la "genocide" sasa watajua kuwa "they were lured", waliosababisha genocide ni hao hao wanalalamika kuwa "ndugu" zao ndio walikufa wengi wakati wa tukio hilo la kishetani.... nahisi mwisho wa siku pk atajinyonga mwenyewe.... damu ya mtu haiendi bure...
 
MUKAMASIMBA na KOBA njooni kumtetea Baba yenu Kagame.
Hahaaa, aisee hao kwa thread ya hivi hawawezi kujitokeza; wakijitokeza comments zao zitakua ni matusi tu basi ama kuleta hadithi za uongo za kusafisha choo na maji taka!....
 
give answers and not some mumbo jumbo cra.p!!!
is general Nyamwasa genocide sympathizer as it is your preferred excuses???? the days of him killing for fun are over!!!

Uninformed fellow!! It seems you are a google guy and you don't know what you are talking about. Come to rwanda so that I can educate you more. I'm sure by the time you leave you will have a totally different perspective from what you have now.
 
Shida ya hawa watutsi ni kwamba, kuua kuko katika damu yao nadhani!...ndo mana hata kuuana wao kwa wao hawaoni shida kabisa; sasa hivi wanaionyesha dunia kuwa wao ni watu wa aina gani!.... wale waliowaonea huruma juu ya tukio la "genocide" sasa watajua kuwa "they were lured", waliosababisha genocide ni hao hao wanalalamika kuwa "ndugu" zao ndio walikufa wengi wakati wa tukio hilo la kishetani.... nahisi mwisho wa siku pk atajinyonga mwenyewe.... damu ya mtu haiendi bure...

Du. Naona umerudi, vp? ulikuwa umeenda kuwasalimia ndugu zako wa FDLR? karibu sana ila na nyie your time is up. The whole area will be cleaned very soon.
 
"matokeo ya kazi yake" unayosema huwa anayapika si ya ukweli, huyu bwana anachofanya ni kucheza na media na kutuonyesha kitu ambacho anajua tunataka kusikia. Ndio maana hakuna uhuru wa habari Rwanda, kwa sababu siku international media itakapofanya kazi kwa uhuru, yote tunayoyasikia yatabainika kuwa uwongo.

Rwanda is a dictatorship kama ilivyo North Korea. Kuwepo kwa barabara za lami mbili tatu kwa ajili ya picha za CNN, hakuondoi tatizo la msingi. We jiulize kwa nini warwanda wanaongoza kwa kuishi ukimbizini na hawataki kurudi kwao: uganda, congo, burundi, zambia, angola, south afrika, ulaya na marekani ndio usiseme! hata hawa wakimbizi haramu tuliowatoa kwetu, baadhi walikimbilia Uganda sio kwao Rwanda! why?

Hana muda wa huo wa kucheza na media. Yeye anachapa kazi tu. Anataka kuwaondoa wanyarwanda kutoka katika umaskini. Sisi tunajua kuwa tukifanikiwa kuwaondoa wanyarwanda katika umaskini, basi hakuna mtu atakuja kuwarubuni na kuwadanganya mambo ya kihutu na kitutsi. Watu wako busy na maisha, bima ya afya bure kwa wananchi wa makabila yote. Elimu bure, vyuo vikuu vya kimataifa kama Karnegie Mellon vimefungua matawi hapa. Sisi tunasonga mbele.
 
Kama hiyo ndo nia yao inakuaje kwenye uchaguzi Kagame anapata ushindi wa kishindo wakati wahutu ni wengi kuliko nyinyi?

hebu pata kinywaji ikipendacho popote ulipo kwa bill yangu!!

una akili sana wewe!na hapo ulipo high light ukisoma katikati ya hiyo mistari utagundua mtazamo wa mwandishi w hiyo comment na kwa hivyo utajua msingi as to why ana suport anachoki support!
 
Hana muda wa huo wa kucheza na media. Yeye anachapa kazi tu. Anataka kuwaondoa wanyarwanda kutoka katika umaskini. Sisi tunajua kuwa tukifanikiwa kuwaondoa wanyarwanda katika umaskini, basi hakuna mtu atakuja kuwarubuni na kuwadanganya mambo ya kihutu na kitutsi. Watu wako busy na maisha, bima ya afya bure kwa wananchi wa makabila yote. Elimu bure, vyuo vikuu vya kimataifa kama Karnegie Mellon vimefungua matawi hapa. Sisi tunasonga mbele.

FACT: Narudia tena mna wakimbizi sio wahamiaji, wakimbizi!; Uganda, congo, burundi, zambia, malawi, zimbabwe angola, south africa, ulaya, marekani, canada etc, Leo hii/right now, ambao hawataki kurudi Rwanda hata kwa dawa na wote hawa si wahutu!
Hata hawa wakimbizi haramu tuliowatoa kwetu, baadhi walikuwa radhi kukimbilia Uganda sio kwao Rwanda! Kama mambo chini ya kagame ni mazuri hawa ndugu zenu wanahofia nini kurudi? Wale wanafunzi waliokimbilia Uganda kutafuta assylum mwaka huu? wanaikimbia elimu ya bure unayosema?
Nchi ya Rwanda inakimbiwa kuanzia na watoto wa shule, mkuu wa jeshi (nyamwasa), mabalozi (rudasingwa), mabody-guard wa rais (joel mutabazi), wafanyabiashara (rujugiro) ....Wooote hawa FDLR?
 
Uninformed fellow!! It seems you are a google guy and you don't know what you are talking about. Come to rwanda so that I can educate you more. I'm sure by the time you leave you will have a totally different perspective from what you have now.

tehe tehe, you need to guarantee that he will be free and able to leave first! You see, in your land-locked tutsidom it is quite common for us "google guys" to go missing...

For example:
"A regional human rights organisation, LDGL with offices in Kigali- Rwanda has announced the missing of its president and the deputy Secretary after they were arrested by Rwandan police on August 19th on their way to the neighbouring Burundi where they were travelling for an executive committee meeting."

"According to sources which confirmed the arrest of the two say the police did it to intimidate the organisation from following the elections of the senators in Rwanda expected in September. LDGL is the only active human rights organisation after LIPRODHOR another human rights organisation had all its staff forced out of the country in 2002 by the Rwandan government. The organisation's secretary went missing now a year has gone without any news of his whereabouts."

source: here
 
Mkuu Morinyo ndio ushangae kunaripoti niliisoma juzi wamarekani wameistukia serekali ya Kagame kwa kuvuruga uchaguzi ili chama chake kishinde uchaguzi mkuu.



Mkuu hawa watu kila wakijitetea wanasahu kua manneno yao yanapingana na yanayotendeka.
 
FACT: Narudia tena mna wakimbizi sio wahamiaji, wakimbizi!; Uganda, congo, burundi, zambia, malawi, zimbabwe angola, south africa, ulaya, marekani, canada etc, Leo hii/right now, ambao hawataki kurudi Rwanda hata kwa dawa na wote hawa si wahutu!
Hata hawa wakimbizi haramu tuliowatoa kwetu, baadhi walikuwa radhi kukimbilia Uganda sio kwao Rwanda! Kama mambo chini ya kagame ni mazuri hawa ndugu zenu wanahofia nini kurudi? Wale wanafunzi waliokimbilia Uganda kutafuta assylum mwaka huu? wanaikimbia elimu ya bure unayosema?
Nchi ya Rwanda inakimbiwa kuanzia na watoto wa shule, mkuu wa jeshi (nyamwasa), mabalozi (rudasingwa), mabody-guard wa rais (joel mutabazi), wafanyabiashara (rujugiro) ....Wooote hawa FDLR?

Raisi wenu angekuwa strict na hao mafisadi nadhani wote wangekuwa wameshakimbia zamani. Lakini kwa sababu hana nguvu ya kuwashughulikia hao mafisadi walioficha hela uswisi wakati nyie nasikia mko kwenye mgao wa umeme (richmond) ndio maana hawakimbii nchi. Kagame has zero tolerance on corruption or any other vice. Hao wanaokimbia wanajua kinachowakimbiza. Njoo rwanda ujaribu kumhonga polisi. Utaswekwa ndani miaka mitano. Sasa kama wewe utakimbia manake utakuwa huamini kuwa kuhonga ni kosa umeshazoea vya bongo. Sisi hatuna mzaha bwana.
 
tehe tehe, you need to guarantee that he will be free and able to leave first! You see, in your land-locked tutsidom it is quite common for us "google guys" to go missing...

For example:
"A regional human rights organisation, LDGL with offices in Kigali- Rwanda has announced the missing of its president and the deputy Secretary after they were arrested by Rwandan police on August 19th on their way to the neighbouring Burundi where they were travelling for an executive committee meeting."

"According to sources which confirmed the arrest of the two say the police did it to intimidate the organisation from following the elections of the senators in Rwanda expected in September. LDGL is the only active human rights organisation after LIPRODHOR another human rights organisation had all its staff forced out of the country in 2002 by the Rwandan government. The organisation's secretary went missing now a year has gone without any news of his whereabouts."

source: here

I can assure you that we will not even notice that you were here. You are a spec in the greater scheme of things. So, don't give yourself the importance that you don't deserve.
 
jenerali Nyamwasa alihojiwa na BBC kuhusu ushauri aliotoa Kikwete kwa Kagame kuzungumza na waasi, Nyamwasa aliunga mkono ushauri wa Kikwete.
 
Raisi wenu angekuwa strict na hao mafisadi nadhani wote wangekuwa wameshakimbia zamani. Lakini kwa sababu hana nguvu ya kuwashughulikia hao mafisadi walioficha hela uswisi wakati nyie nasikia mko kwenye mgao wa umeme (richmond) ndio maana hawakimbii nchi. Kagame has zero tolerance on corruption or any other vice. Hao wanaokimbia wanajua kinachowakimbiza. Njoo rwanda ujaribu kumhonga polisi. Utaswekwa ndani miaka mitano. Sasa kama wewe utakimbia manake utakuwa huamini kuwa kuhonga ni kosa umeshazoea vya bongo. Sisi hatuna mzaha bwana.

kwa hiyo bodyguard wa kagame, wanafunzi, na malaki ya wanyarwanda wakimbizi wasiotaka kurudi ni mafisadi?
 
Kama hiyo ndo nia yao inakuaje kwenye uchaguzi Kagame anapata ushindi wa kishindo wakati wahutu ni wengi kuliko nyinyi?

Lol,In US blacks are only 12% lakini Obama(black President) won more than 50% na kuna states kama NY and California alishinda almost 70%,sio wahutu wote wana akili za kipumbavu na ukabila kama mnavyofikiria,acheni kusikiliza garbage za kina Rushasha and his company humu JF hao watu ni poison!!
 
Hahaaa, aisee hao kwa thread ya hivi hawawezi kujitokeza; wakijitokeza comments zao zitakua ni matusi tu basi ama kuleta hadithi za uongo za kusafisha choo na maji taka!....

Unajulikana interahamwe mkubwa wewe,sina muda wa kubishana na wewe unayeamini to wipe all tutsi,keep your extremism and ignorance to yourself na labda utapata wafuasi humu ila kama wewe mwanaume kweli ungeenda public na huo msimamo wako ningekuheshimu sana kuliko kujificha nyuma ya keyboard kutapika garbage zako.
 
Lol,In US blacks are only 12% lakini Obama(black President) won more than 50% na kuna states kama NY and California alishinda almost 70%,sio wahutu wote wana akili za kipumbavu na ukabila kama mnavyofikiria,acheni kusikiliza garbage za kina Rushasha and his company humu JF hao watu ni poison!!
It is true Wahutu hawana akili za kipumbavu za ukabila, ILA NYIE watutsi NDIO MNAZO AKILI ZA KIPUMBAVU ZA KIKAKABILA, ZA UBAGUZI, ZA KUJIONA NYIE NDIO WATU WENGINE SIO WATU!...You said it well...Mtaingia tu kingi, mtajisema wenyewe. Na pia sio watutsi wote wenye akili kama zako koba, murutongore na wengine kama nyie na pk wenu!...
 
Unajulikana interahamwe mkubwa wewe,sina muda wa kubishana na wewe unayeamini to wipe all tutsi,keep your extremism and ignorance to yourself na labda utapata wafuasi humu ila kama wewe mwanaume kweli ungeenda public na huo msimamo wako ningekuheshimu sana kuliko kujificha nyuma ya keyboard kutapika garbage zako.
Siamini katika UUAJI kama baadhi ya nyie watutsi (you koba, pk na wengine wa aina yenu). I believe in love, peace and living in harmony with all kinds of human races on the planet earth. Nyie watutsi ndio mna nia ya kuhakikisha Wahutu wote mnawauwa ili mbaki wenyewe. That is what you are doing in DRC. Lakni sasa shetani mnayemwamini alivyowaweza, mnauana watutsi kwa watutsi! Hiyo laana haitawaacha hadi mtakapotubu na kumrudia MUNGU!...... BY THE WAY, MWAMBIENI paul kagame WENU AKAM HIT H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE kama alivyosema kuwa "I will hit him"!....mnatia huruma sana..
 
Halafu kuna watu, kutoka Bill Clinton mpaka baadhi ya Watanzania, wanamsifia sana Kagame.


Ni kwa sababu hawajuwi ukweli ila ukienda Rwanda ndipo utajuwa ukweli kuwa Kagame ni nani. Wanyarwanda wengi hawampendi Kagame ila hawawezi kuongea mbele za watu kwa sababu jamaa ana network ya kusambaratisha watu/maadui zake kimazingira.
 
Lol,In US blacks are only 12% lakini Obama(black President) won more than 50% na kuna states kama NY and California alishinda almost 70%,sio wahutu wote wana akili za kipumbavu na ukabila kama mnavyofikiria,acheni kusikiliza garbage za kina Rushasha and his company humu JF hao watu ni poison!!

usifananishe 'ukubwa' wa Marekani na nchi kama Ghana- Fid Q. Unaongelea percentage ya blacks versus kuchaguliwa kwa obama mbna unasahau kama obama huyuhuyu ana Irish ancentry kupitia mama yke na Irish ppo are one of the most dominant ethnic groups in the US. Ukabila na udini vimetawala sana kwny Chaguzi za kiafrika na Rwanda is not an exception
 
Unajulikana interahamwe mkubwa wewe,sina muda wa kubishana na wewe unayeamini to wipe all tutsi,keep your extremism and ignorance to yourself na labda utapata wafuasi humu ila kama wewe mwanaume kweli ungeenda public na huo msimamo wako ningekuheshimu sana kuliko kujificha nyuma ya keyboard kutapika garbage zako.

Koba. I think you have taken the words right out of my mouth. Hawa jamaa sijui hiyo grey matter yao ni uji tuuu au nini?
Fortunately, the likes of rushasha and mokala1989 are a handful who i believe and can prove that they are genocidaire or sympathisers. These guys will continue shouting here in these forums because they have no balls to come out in the open and say the same. Another thing is that they keep on repeating the same song over and over again. I am sure if we could engage them in a public debate, they will probably speak for the first 2 minutes thereafter they will have nothing more to add on because they have nothing. Pity them.
 
Back
Top Bottom