Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa... Ila ikitokea ametangulia mbele ya haki L/Cruiser ya leo itamtambulishaje kwa mjukuu wako, kitukuu chako na kilembwe chako wewe kwamba nchi yetu ilikuwa na jenerali Musuguri!?Wanabadilishiwa baada miaka 10 ila ikitokea imesumbua wanabadilisha haraka sanaa....