Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,297
Punguani wahedi. Huko shule huwa mnaenda kusomea Ujinga!? Umesoma vizuri nilichoandika au unafukunyuka tu!!??? Nimeongea enzi za Mramba kupeleka miradi ya Maendeleo miaka ya nyuma pengine hata ulikuwa haujazaliwa. Na huo upuuzi wote uliotaja kwa sasa miaka hiyo kulikuwa hakuna kitu. Chuki itawamaliza awamu hii. Vumilieni bado miaka Nane (8).So unataka kufananisha kwa Pesa mbili na Chato...aa bwana acha utani? Holili border inaingiza fedha zaidi ya Chato na huko Kwa Mramba kumeendelea kuliko hata Geita. Kuna ma-lodge ya kufa mtu ukiacha Tarakea inayopaswa kuwa mji. Mngekuwa na akili mngemsisitiza awajengee viwanda mpate kujikimu maana uwanja hamtaweza hata kumudu tiketi ya ndege.