Geita: Waziri Mkuu Majaliwa, afungua Ofisi za TRA Chato

Hili jengo kwa 1.4 bilion wamepiga hela sana.
haliwezi kuzidi 350m tu

Rejea ujenzi wa hostel ya gorofa 4 kwa 500m
9150b55d71a492c7882cea2f95114eac.jpg
 
Siyo rahisi kutenganisha siasa na bias (upendeleo), hasa kwenye jamii ambazo hazijaendelea kama hizi zetu.
wanasiasa wanapenda sifa na watu masikini wa fikra na mali hutegemea hisani za wanasiasa ambazo pia ni mzigo mkubwa lakini ni mtaji wa kisiasa.
 
Habari nzuri kwa wazee juu ya kodi za majengo, Natumaini wanamaanisha majengo yote waliyonayo nchini na sio wanaloishi tu.
 
Hili jengo kwa 1.4 bilion wamepiga hela sana.
haliwezi kuzidi 350m tu

Rejea ujenzi wa hostel ya gorofa 4 kwa 500m
9150b55d71a492c7882cea2f95114eac.jpg

Labda wameweka mengi mazuri ya kuwasaidia kikazi ma tekinolojia pia wanayoijua wao humo ndani. :)
 
Chato ni kichaka, na magu akistaafu kutaendelea kuwa kichaka
Ngoja ikifunguliwa International Airport ndio utapojua Kama ni kichaka au vinginevyo. Karibu ghalua na tende mkuu. Miaka ya nyuma (sidhani Kama ulikuwa umezaliwa) Mh. Cleopa Msuya alijenga barabara za lami huko milimani na kupeleka umeme huko kwao. Jambo hili liliwashangaza wengi (nikiwa mmoja wapo) kwa sababu hakukuwa na faida au sababu za kiuchumi. Lakini watu tulivumilia na maisha yakaendelea. Vivyo hivyo kwa Bwana Basil Pesambili Mramba huko kwao migombani.

Inakuwaje leo hii anakotokea Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikifunguliwa Ofisi ya TRA ili wananchi wapate unafuu wa kulipa Kodi na Serikali ipate mapato iwe nongwa na Jambo la kipuuzi kwenu nyinyi "Wanaharakati"!!!????
Tuvumiliane Wajameni...bado miaka Nane (8) tu.
 
soon litakuwa zizi LA ng'ombe na mbuzi, hakuna cha maana huko vichakani Chato
 
Ngoja ikifunguliwa International Airport ndio utapojua Kama ni kichaka au vinginevyo. Karibu ghalua na tende mkuu. Miaka ya nyuma (sidhani Kama ulikuwa umezaliwa) Mh. Cleopa Msuya alijenga barabara za lami huko milimani na kupeleka umeme huko kwao. Jambo hili liliwashangaza wengi (nikiwa mmoja wapo) kwa sababu hakukuwa na faida au sababu za kiuchumi. Lakini watu tulivumilia na maisha yakaendelea. Vivyo hivyo kwa Bwana Basil Pesambili Mramba huko kwao migombani.

Inakuwaje leo hii anakotokea Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikifunguliwa Ofisi ya TRA ili wananchi wapate unafuu wa kulipa Kodi na Serikali ipate mapato iwe nongwa na Jambo la kipuuzi kwenu nyinyi "Wanaharakati"!!!????
Tuvumiliane Wajameni...bado miaka Nane (8) tu.
international airport hiyo, watu watue kushangaa kuku, mbuzi na ng'ombe huko chato
 
its Ok..sishangai sana vile hata wale Maminister budget nzur nzur na za priority hupeleka kwao hupeleka kwao,yeah!! sasa iweje presidnt
 
Itajilipa tu huko mbeleni vumilieni mkuu.
Mh. Kikwete alipojenga kiwanda cha kisasa Chalinze cha kutengeneza dawa za kutokomeza mbu mlibeza na kulia sanaaa. Leo hii wote tunaona faida yake. Vumilieni mkuu huwezi jua unaweza kuhitaji huduma ya TRA Chato siku za mbeleni. Karibu Uji wa iliki yakhe.
Ni vyema kujenga kiwanda kuliko hilo Jengo la TRA......
 
Wameweka ghorofa 3 za ofisi TRA kijijini.....sijui nani ataenda kulipa kodi pale!!! Bado uwanja ndege size ya Dar.....ndege hakuna!!!!! Tunasubiri akitoka na yeye na team yake wapandishwe kizimbani.....manunuzi bila kufuata..sheria!!!!
Tunaangamia kwa kukosa Vipaumbele
 
Yani nawaonea wivu watakaopangwa kaz hapo...... Wewe unaweza fanya hata kazi mbili kwa siku au ukawa unafanya mishe zako sengerema jioni unarudi Chattle.......

Tax officer Chattle watainjoi Sana....
Hapa kazi tu..... Kupanga ni kuchagua
hivi SENGEREMA na Chattle ni jirani
 
Watu mnavyolalamika na kupinga Ujenzi wa ofisi ya TRA mkoani Geita kana kwamba Geita kuna mawe hakuna Watu! Ukosoaji wa Kinazi!
Hakuna watumiaji wa hizo Ofisi.... Chato wana mahitaji mengine ya msingi kwasasa kuliko hiyo ofisi
 
Ukishindwa kuishi Dar ni bora ukaishi Chatto, huduma zote muhimu zipo kuliko hata kwenye majiji mengine.
Mwacheni naye ana kwao, mbona waliopita nao walijenga makwao tatizo ni nini?
 
Ni vyema kujenga kiwanda kuliko hilo Jengo la TRA......
Ni bora uyaambie maboya ya huko. Wanahitaji kutengenezewa ajira kabla ya vitu vya anasa kama uwanja wa ndege na traffic lights. Miaka 10 si mingi watakuja kufahamu tunachoongea jamaa aking'atuka
 
Ngoja ikifunguliwa International Airport ndio utapojua Kama ni kichaka au vinginevyo. Karibu ghalua na tende mkuu. Miaka ya nyuma (sidhani Kama ulikuwa umezaliwa) Mh. Cleopa Msuya alijenga barabara za lami huko milimani na kupeleka umeme huko kwao. Jambo hili liliwashangaza wengi (nikiwa mmoja wapo) kwa sababu hakukuwa na faida au sababu za kiuchumi. Lakini watu tulivumilia na maisha yakaendelea. Vivyo hivyo kwa Bwana Basil Pesambili Mramba huko kwao migombani.

Inakuwaje leo hii anakotokea Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikifunguliwa Ofisi ya TRA ili wananchi wapate unafuu wa kulipa Kodi na Serikali ipate mapato iwe nongwa na Jambo la kipuuzi kwenu nyinyi "Wanaharakati"!!!????
Tuvumiliane Wajameni...bado miaka Nane (8) tu.
So unataka kufananisha kwa Pesa mbili na Chato...aa bwana acha utani? Holili border inaingiza fedha zaidi ya Chato na huko Kwa Mramba kumeendelea kuliko hata Geita. Kuna ma-lodge ya kufa mtu ukiacha Tarakea inayopaswa kuwa mji. Mngekuwa na akili mngemsisitiza awajengee viwanda mpate kujikimu maana uwanja hamtaweza hata kumudu tiketi ya ndege.
 
Back
Top Bottom