John Cannor
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,464
- 1,824
Only in Chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hii ofisi ingejengwa Arusha au Kilimanjaro tungefanya hizi kebehi na lawama? Hivi kwa nini kuna Watu wanaamini kwamba wao ndo wenye haki ya kula mema ya nchi hii peke Yao? Ukweli in kwamba hata ingejengwa kibondo au namtumbo I don't care. Kote wanaishi watanzania. Kwamba hakuna economic activities kujustify hiyo investment, possibly yes, lakini ni fursa Kama hizo ndo zitaleta maendeleo. Tukubaliane kuna Mikoa na wilaya imetengwa sana nchi hii as if wao siyo wananchi WA taifa hili. Wengine mkijengewa airports, hotel na kumbi za kimataifa.....it's all good. Kwa sababu mmeendelea na mnastahili. As if maendeleo mlizaliwa nayo...yet hata nyinyi fursa nyingi mlizipata kwa sababu ya viongozi WA taifa hili waliokuwa wana divert miradi. Very unfair kutuaminisha kwamba wananchi WA Chato hawastahili hii ofisi. Next wakajenge Kasulu na Kakonko.
unamaanisha maeneo ya jirani Kama koromije, misungwi na kule sengeremaHahaha..... Ndo mambo ya kwenda kutafuta vibarua vingine Sengerema na maeneo ya jirani Mkuu......
Dar Es salaam na investments zote zilizopo mbona watu wanakufa kwa uchafu/kipindupindu? Mbona kuna shule watoto wanakaa chini? Kwa nini wasiache kujenga mwendokasi waboreshe hospitali? Au kuboresha airport walipe walimu vizuri? You see? Kila kitu ni muhimu.
Watu mnavyolalamika na kupinga Ujenzi wa ofisi ya TRA mkoani Geita kana kwamba Geita kuna mawe hakuna Watu! Ukosoaji wa Kinazi!
Mkuu nimeipenda hii maana ng'ombe wengi kuliko magariHahahaaaa!
CHATO WOYEE!!
Sishangai wakijenga na fly ovaz za kuvushia ng'ombe...
Selfishness!
Kiasi wanachokusanya kwa mwaka ni bei gani??Gharama za ujenzi 1.4 bln
hao watu wako hai na wanapumua, kuna watoto leo wanakaa chini darasani,hii ni misuse of resources,bora hata angewawezesha hao watu wachato kwa kuweka miradi ya kilimo na maji angekua amewakomboa,sasa hio
airport ndege atapanda nani??hivi rais hajui hali halisi au hana vision?mmmnh
Akili zako bhana kama za jaza ujazwe , hapa tunazungumzia ujenzi wa TRA mkoani Geita sio Uwanja wa Ndege Chato!
"kila raia anawajibika kulipa kodi" Magufuli hulipa sh. Ngapi toka kwenye mshahara wake?Mbuzi ndiyo watalipa kodi hapo kwenye hiyo ofisi.
"Ndege atapanda nani"?
Watapanda Watu wakiwemo na WanaChato!
lol acha kunishushua,nilijua hio ofisi ya TRA,iko huko Chato lol,my bad...
Akina Msuya, Mrema, Sumaye, etc. walitengeneza lami mpaka vijijini migombani huko, walisambaza umeme wa uhakika mpaka vichochoroni wakati huohuo mikoa mingine ilikuwa haifikiki kutokana na barabara mbovu, umeme na maji shida. Ilifikia kipindi wakademand kujengewa mpaka International Airport (KIA). Lakini leo amepatikana kiongozi anayejitahidi kuendeleza maeneo mengine (including eneo lake) ambayo yapo nyuma sana kimaendeleo wanamuona mbaya. How selfish are they.Hivi hii ofisi ingejengwa Arusha au Kilimanjaro tungefanya hizi kebehi na lawama? Hivi kwa nini kuna Watu wanaamini kwamba wao ndo wenye haki ya kula mema ya nchi hii peke Yao? Ukweli in kwamba hata ingejengwa kibondo au namtumbo I don't care. Kote wanaishi watanzania. Kwamba hakuna economic activities kujustify hiyo investment, possibly yes, lakini ni fursa Kama hizo ndo zitaleta maendeleo. Tukubaliane kuna Mikoa na wilaya imetengwa sana nchi hii as if wao siyo wananchi WA taifa hili. Wengine mkijengewa airports, hotel na kumbi za kimataifa.....it's all good. Kwa sababu mmeendelea na mnastahili. As if maendeleo mlizaliwa nayo...yet hata nyinyi fursa nyingi mlizipata kwa sababu ya viongozi WA taifa hili waliokuwa wana divert miradi. Very unfair kutuaminisha kwamba wananchi WA Chato hawastahili hii ofisi. Next wakajenge Kasulu na Kakonko.
Upo sawa mno mkuu maana watu kuna watu wanapinga na kubisha kwa kila jambo pasipo kuwa na hoja za msingi tunachotaka ni maendeleo popote panapoendelezwa kuna fursa zinajitokezaHivi hii ofisi ingejengwa Arusha au Kilimanjaro tungefanya hizi kebehi na lawama? Hivi kwa nini kuna Watu wanaamini kwamba wao ndo wenye haki ya kula mema ya nchi hii peke Yao? Ukweli in kwamba hata ingejengwa kibondo au namtumbo I don't care. Kote wanaishi watanzania. Kwamba hakuna economic activities kujustify hiyo investment, possibly yes, lakini ni fursa Kama hizo ndo zitaleta maendeleo. Tukubaliane kuna Mikoa na wilaya imetengwa sana nchi hii as if wao siyo wananchi WA taifa hili. Wengine mkijengewa airports, hotel na kumbi za kimataifa.....it's all good. Kwa sababu mmeendelea na mnastahili. As if maendeleo mlizaliwa nayo...yet hata nyinyi fursa nyingi mlizipata kwa sababu ya viongozi WA taifa hili waliokuwa wana divert miradi. Very unfair kutuaminisha kwamba wananchi WA Chato hawastahili hii ofisi. Next wakajenge Kasulu na Kakonko.