Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,435
Pinda nae akienda wampe masharti hayo hayo, akili hadharani kuwa serikali haina dini na hivyo sio lazima waislamu tu ndio wachinje, akimbwela wasimsikilize
Unajua hawa viongozi makenge ni problem kwa nchi hii.Wange popolewa kidogo akili zao zingefunguka.
ninamheshimu sana Dr Slaa sijui kwanini hakutaka tuende kumng'oa mwizi huyu!Wilbrod Slaa
Uchonganishi kwa kutumia dini ni mbinu chafu na ya mwisho ya utawala unaotapatapa kwa kushindwa kutekeleza mambo mengine ya msingi zaidi kwa wananchi wake.
Wananchi lazima kutambua hilo na kukumbuka kwamba umaskini na ukosefu wa mahitaji ya msingi si matokeo ya tofauti za dini au makabila bali utawala mbovu.
Huyo ndiye adui wa Taifa letu na ndiye wa kwanza tunayetakiwa kukamilisha harakati za kumuondoa zinazokaribia kushinda.
hao wanaotoa hayo mashart sjui wametumia vigezo gan hasa
hicho kinyesi peleka masjidkwa kuwa kanisa limesema,serikali itatekeleza hayo masharti
hao wanaotoa hayo mashart sjui wametumia vigezo gan hasa
kwa swala hili la udini ccm hawatoki.
hao wanaotoa hayo mashart sjui wametumia vigezo gan hasa
Wasira ni janga la kitaifa! Ukisikia cheap popularity basi mzee huyu mwenye sura kama ya binadamu wa kale anapenda mno! Hata boss wake analijua kuwa hana hoja zaidi ya ukali na ukaidi, ndiyo maana akampa jina la Tyson