Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Katika hali ya kawaida watu wanaweza kugombea nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, hata Kondoo, lakini hali hiyo ni tofauti kwa wananchi wa kijiji cha Bukungu wilayani Nyang'hwahe mkoani Geita wao wamegombea nyama ya fisi.
Hatua hiyo imekuja baada ya mnyama huyo aliyeingia kwenye zizi la Mbuzi na Kondoo linalomilikiwa na Bwana Mpuya Ganganyi, saa 10 alfajiri kukumbana na kifo kutoka kwa majirani wa mfugaji huyo baada ya kupata kibali cha kumuua.
Kwa mujibu wa mwandishi wa Azam Tv Geita, aliyeshuhudia tukio hilo la kugombea nyama hiyo amesema, ilikuwa kama sinema baada ya mnyama huyo kuuawa na watu kuamua kugawana nyama yake kwa madai kuwa ni dili kwa waganga wa kienyeji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatua hiyo imekuja baada ya mnyama huyo aliyeingia kwenye zizi la Mbuzi na Kondoo linalomilikiwa na Bwana Mpuya Ganganyi, saa 10 alfajiri kukumbana na kifo kutoka kwa majirani wa mfugaji huyo baada ya kupata kibali cha kumuua.
Kwa mujibu wa mwandishi wa Azam Tv Geita, aliyeshuhudia tukio hilo la kugombea nyama hiyo amesema, ilikuwa kama sinema baada ya mnyama huyo kuuawa na watu kuamua kugawana nyama yake kwa madai kuwa ni dili kwa waganga wa kienyeji.
Sent using Jamii Forums mobile app