edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,873
- 9,667
HihihiKichwa cha habari kiwe wana CCM wakigawana nyama ya fisi nukta.
Sent using Jamii Forums mobile app
HihihiKichwa cha habari kiwe wana CCM wakigawana nyama ya fisi nukta.
Naona Wengi ni wanaccm wakiwa katika uniform na huo ndio mtaji mkuuKatika hali ya kawaida watu wanaweza kugombea nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, hata Kondoo, lakini hali hiyo ni tofauti kwa wananchi wa kijiji cha Bukungu wilayani Nyang'hwahe mkoani Geita wao wamegombea nyama ya fisi.
Hatua hiyo imekuja baada ya mnyama huyo aliyeingia kwenye zizi la Mbuzi na Kondoo linalomilikiwa na Bwana Mpuya Ganganyi, saa 10 alfajiri kukumbana na kifo kutoka kwa majirani wa mfugaji huyo baada ya kupata kibali cha kumuua.
Kwa mujibu wa mwandishi wa Azam Tv Geita, aliyeshuhudia tukio hilo la kugombea nyama hiyo amesema, ilikuwa kama sinema baada ya mnyama huyo kuuawa na watu kuamua kugawana nyama yake kwa madai kuwa ni dili kwa waganga wa kienyeji.View attachment 842455View attachment 842456View attachment 842457
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa ni dar fisi kaingia mjini wangeita wanajeshi na vikosi vya anga kumuangamiza..
Wanaume wa dar mnazingua
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hali ya kawaida watu wanaweza kugombea nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, hata Kondoo, lakini hali hiyo ni tofauti kwa wananchi wa kijiji cha Bukungu wilayani Nyang'hwahe mkoani Geita wao wamegombea nyama ya fisi.
Hatua hiyo imekuja baada ya mnyama huyo aliyeingia kwenye zizi la Mbuzi na Kondoo linalomilikiwa na Bwana Mpuya Ganganyi, saa 10 alfajiri kukumbana na kifo kutoka kwa majirani wa mfugaji huyo baada ya kupata kibali cha kumuua.
Kwa mujibu wa mwandishi wa Azam Tv Geita, aliyeshuhudia tukio hilo la kugombea nyama hiyo amesema, ilikuwa kama sinema baada ya mnyama huyo kuuawa na watu kuamua kugawana nyama yake kwa madai kuwa ni dili kwa waganga wa kienyeji.View attachment 842455View attachment 842456View attachment 842457
Sent using Jamii Forums mobile app