Unatafuta mume huku?Hapa machimboni
Umepotea
Unatafuta mume huku?Hapa machimboni
Tumtupe kule jukwaa la Makapuku nini.dogo kaingia chaka sidhani kama nae ni great thinker mtu kama huyu kumuweka level moja na great thinkers kama MSEZA MKULU Pasco ni matusi kwa magreat thinker wetu wa jf
mu unfollow
Nadhani Huko Kunamfaa Sasa Mtu Kama Huyu Atachangia Nini Cha Maana SasaTumtupe kule jukwaa la Makapuku nini.
Nyankumbunaamini hatarudia. somo limemwingia. wasalimie Nyankhwale
cheni zenuNimecheka peke yangu..yaani hizo comment raha tupu..msameheni uyo kakosea njia,akija kustuka ageuki nyuma.
cheni zetu ziko wapi we kipwinto?cheni zenu
Mashikolomageni!naomba mnisamehe mimi kwa niaba yake
huyu msukuma kanitia aibu
Unazungumzia cheni gani dogo? Za kuvaa kiunoni ama? Interview na Zamaradi Mketema inakuhusu haki ya nani. Bagishage koyi!cheni zenu