Wabongo Bwana! Wamehamishia mjadala kwenye namba za gari na kuiacha habari husika upenuni. Tungependa kujua nani wamekufa?, nani wamejeruhiwa?, Hali za majeruhi zikoje/, majeruhi na marehemu wamepelekwa wapi? Ili kama kuna ndugu na jamaa waweze kuwapata wapendwa wao kwa msaada zaidi na marehemu wao wawapate ili wakawahifadhi.