Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 9,744
- 20,902
Mda uo wamesha elewa lakini wana jizima data tu na ujuaji mwingiWabongo Bwana! Wamehamishia mjadala kwenye namba za gari na kuiacha habari husika upenuni. Tungependa kujua nani wamekufa?, nani wamejeruhiwa?, Hali za majeruhi zikoje/, majeruhi na marehemu wamepelekwa wapi? Ili kama kuna ndugu na jamaa waweze kuwapata wapendwa wao kwa msaada zaidi na marehemu wao wawapate ili wakawahifadhi.