stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 518
Jamani muwe mnasoma na kuelewa kabla ya kujionesha mlivokuwa namna gani vichwani.....hebu Rudia tena kusoma mpaka paragraph ya mwisho,usipoelewa njoo PM nikufundishe tuitionHasara aliyosababisha milioni 75,hukumu anatakiwa kulipa milioni 2?!! Hizi milioni 73 za Jamhuri nani anazifidia?
Katiba mpya muhimu sana