Geezy mabovu .kipaji hiki kiliyeyuka kama mshumaa.

Geezy mabovu .kipaji hiki kiliyeyuka kama mshumaa.

Jamaa ngoma zake zina depict reality of life at full picture.....basi tu ingekuwa uwezo wangu ningeenda hata kurudisha shukrani hata kwa familia yake asee dah.
Jamaa noma sn, kuna ngoma inaitwa "Mimi" kawashirikisha Chid Benz, Mo Technics, na Farid Kubanda yn hyo ngoma ikipigwa hata kesho utazani ya Leo, noma sn Geezy, RIP.
 
Oya dark,
nitoe bati nikwanywe chai,
Mchana nikifeli ntamuibukia majani,
..........., ..........., ..........., ............., .........,

Wanga tuu hawantshii maisha, na mwaka huu lazima geezy n yavune,

Ile beat majani alitengeneza
 
Oya dark,
nitoe bati nikwanywe chai,
Mchana nikifeli ntamuibukia majani,
..........., ..........., ..........., ............., .........,

Wanga tuu hawantshii maisha, na mwaka huu lazima geezy n yavune,

Ile beat majani alitengeneza

Kuna ngoma ya Ngwea, Ferouz, P Funk inaitwa MIDA MIBOVU kaicheki uone[emoji16]
 
Sauti nzito,flow kali hardcore rap south dawg maboovuu mtoto wa kiume Jah akulaze mahali pema true gangstar
 
Jamaa apewe pumziko la milele huko aliko.



Dah,apumzike kwa aman.Alikuwa na vocal kali na ghani za hiphop halisi. Huko mbeleni,Linex nae tutakuja kumkumbuka hivihivi. Wakali wapo ila tunawa-underate sana,labda hawana bahati.
 
Hivi ni kweli jamaa alikuwa anakula Fety wa Clouds?
 
Back
Top Bottom