Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
okay okay mkuuNdio wanaitwa developer
okay okay mkuuNdio wanaitwa developer
Nyie vuteni subira kwanzaJe tunaotumia iSO tunaweza pata kwa sababu kwenye Appstore haitambui GbWhatsapp na Gbinstagram
Nyie vuteni subira kwanza
Nyie vuteni subira kwanza
iSO ndio kitu gan mkuu?Nyie vuteni subira kwanza
Hakuna makubariani ndiyo maana kulikuwa na kipindi whatsapp wakijua hutumii official app yao unatumia sijui whatsapp+ na gbwhatsapp wana block number yako.Kuna makubaliano fulani hua yanaanyika ndio maana wanapewa code za app,wao wanadesgn na kuboresha baaz ya vipengele.
Kingine hawawek playstore 7bu watasumbuana kibiashara
Kuhusu hili sahau ios haikubari kabisa installation ya apps ambazo ziko nje ya store yao, ambazo hazijawa verified hii ni kwasababu za kiusalama za taarifa na kifaa chako.Je tunaotumia iSO tunaweza pata kwa sababu kwenye Appstore haitambui GbWhatsapp na Gbinstagram
iOS bado hawajaiamulia,sema wako vzr sana Android app zao zina mambo mengi sanaMkuu hata GBWhatsapp hakuna kabca na GBwhatsapp ni ya muda
iOS bado hawajaiamulia,sema wako vzr sana Android app zao zina mambo mengi sana
iyo ni muonekano wa theme ya GB WhatsApp niliotengeneza mwenyewe
SmatSkills: Download GBWhatsApp 5.90Tunawezaje kuipata hio gbwatsap kwa watumiaji wa android
Ndio hii hapa Messi.rar