Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,328
- 2,283
Ndio,pakuwa hapo uone OGinsta haina muonekano mzuri sana,kama unatumia GBwhatsapp na Gbinsta utaipendaInaizidi OGinsta?
Kuna makubaliano fulani hua yanaanyika ndio maana wanapewa code za app,wao wanadesgn na kuboresha baaz ya vipengele.Mkuu naomba kuuliza, hivi mpaka watoe GBinstagram, wanakuwa wamewasiliana na Insta au ndio wanapiga juu kwa juu
anhaaa sawa mkuu nimekuelewaKuna makubaliano fulani hua yanaanyika ndio maana wanapewa code za app,wao wanadesgn na kuboresha baaz ya vipengele.
Kingine hawawek playstore 7bu watasumbuana kibiashara
Abee tetra
GB watsap hiyo, version mpya kama bado unaipendaAbee tetra
Hapana tetra jaman acha niiache kwanza naogopa ujueGB watsap hiyo, version mpya kama bado unaipenda
Sikujua kama unaogopa! ina nini cha kuogofya?Hapana tetra jaman acha niiache kwanza naogopa ujue
Yaan naiogopa gb ujue simu yangu ya mwanzo ghafla tu ilizima sijui ni gb au vipii lakini toka hiyo siku naiogopa kabisa kuitumia naipenda sana app ya gb ni nzuri sanaSikujua kama unaogopa! ina nini cha kuogofya?
Umeandka nn hikiYaan naiogopa gb ujue simu yangu ya mwanzo ghafla tu ilizima sijui ni gb au vipii lakini toka hiyo siku naiogopa kabisa kuitumia naipenda sana app ya gb ni nzuri sana
Aliyeniuliza anajua mkuu relaxUmeandka nn hiki
Nmerelax mkuuAliyeniuliza anajua mkuu relax
Hahaha, pole asee. Mimi tangu niitumie mpaka nikaiacha sijawahi kupata shida yoyoteYaan naiogopa gb ujue simu yangu ya mwanzo ghafla tu ilizima sijui ni gb au vipii lakini toka hiyo siku naiogopa kabisa kuitumia naipenda sana app ya gb ni nzuri sana
Mkuu naomba kuuliza, hivi mpaka watoe GBinstagram, wanakuwa wamewasiliana na Insta au ndio wanapiga juu kwa juu