Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Anasema chadema wanafuja fedha kwa kuzitumia kwenye oparesheni m4c huku kikishindwa vibaya kwenye uchaguzi wa madiwani.hajui kuwa ccm walishinda vizuri kwenye kata nyingi baada ya kufuja fedha kwa kuwahonga wapiga kura.je alitaka chadema nao wafuje hela nyingi kwa kuwahonga wapiga kura ili washinde vizuri?badala ya kutumia hizo fedha kuimarisha chama kupitia m4c ili uchaguzi ukifika chadema washinde kihalali kuliko ccm wanaoshinda vizuri kwa kuhonga.