Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Hyperbole inaruhusiwa ktk uandishi hadi kipimo cha light spinning. Ila ukichakachua habari (kama ilivyo kwa ripoti na mengineyo) lazima utapoteza haki ya kuaminiwa na baadaye kukubalika. Wanaohusika wanajua hili.
Baada ya kusema haya, tunaomba wenye full story waweke humu jamvini ili wote tusome na kujua
Baada ya kusema haya, tunaomba wenye full story waweke humu jamvini ili wote tusome na kujua