Gazeti la udaku la Uhuru lanalotumiwa na magamba limeripoti kuwa, wazee wa kimila wilayani Arumeru hawako tayari kuonana na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kwa ajili ya kuombwa msamaha kwa dharau alizowaonyesha wakati wa mazishi ya J. Sumari kama ilivodaiwa na J. Tendwa.
My take:
Huu ni mwendelezo wa propaganda za kitoto, uongo na uzushi wa CCM kupitia gazeti hili.
My take:
Huu ni mwendelezo wa propaganda za kitoto, uongo na uzushi wa CCM kupitia gazeti hili.