Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,961
- 29,338
Tuwekee nasie hiyo habariKitendo chagazeti la Uhuru kusema TEC inatumiwa na mabeberu ni kitendo cha kulaaniwa, TEC ni sehemu ya kanisa na kanisa ni sehemu ya wananchi hivyo kinachotolewa kinakuwa ni toka kwa wananchi hivyo mnaposema wanatumiwa na mabeberu ni kwamba wananchi wanatumiwa na mabeberu. Gazeti la Uhuru TEC si Chadema ambayo ikiwajibu mtawatuma polisi wawakamate.
Hilo lishakuwa gazeti la kithenge na wanaolisoma na kulitilia maanani ni wangeseKitendo chagazeti la Uhuru kusema TEC inatumiwa na mabeberu ni kitendo cha kulaaniwa, TEC ni sehemu ya kanisa na kanisa ni sehemu ya wananchi hivyo kinachotolewa kinakuwa ni toka kwa wananchi hivyo mnaposema wanatumiwa na mabeberu ni kwamba wananchi wanatumiwa na mabeberu.
Gazeti la Uhuru TEC si Chadema ambayo ikiwajibu mtawatuma polisi wawakamate.
Pia soma > TEC: Ndani ya miezi 2, zaidi ya mapadri 25, Watawa 60 wamefariki kwa tatizo la kupumua. Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu kuwajibika
Sidhani kama linasomwaga tena na watanzaniaKitendo chagazeti la Uhuru kusema TEC inatumiwa na mabeberu ni kitendo cha kulaaniwa. TEC ni sehemu ya kanisa na kanisa ni sehemu ya wananchi hivyo kinachotolewa kinakuwa ni toka kwa wananchi hivyo mnaposema wanatumiwa na mabeberu ni kwamba wananchi wanatumiwa na mabeberu.
Gazeti la Uhuru TEC si Chadema ambayo ikiwajibu mtawatuma polisi wawakamate.
Pia soma > TEC: Ndani ya miezi 2, zaidi ya mapadri 25, Watawa 60 wamefariki kwa tatizo la kupumua. Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu kuwajibika
Kwanza hilo gazeti linasomwa wapi?Wapuuzi sana hawa. Wanafanya siasa kwenye uhai wa watu
Umeonaeee?Kamu uhuru Haina effect kajalida hako mwisho kwenye makorido ya CCM tu basi.