Gazeti la Uhuru, jueni TEC si CHADEMA

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
23,961
Reaction score
29,338
Kitendo cha gazeti la Uhuru kusema TEC inatumiwa na mabeberu ni kitendo cha kulaaniwa. TEC ni sehemu ya kanisa na kanisa ni sehemu ya wananchi hivyo kinachotolewa kinakuwa ni toka kwa wananchi hivyo mnaposema wanatumiwa na mabeberu ni kwamba wananchi wanatumiwa na mabeberu.

Gazeti la Uhuru TEC si CHADEMA ambayo ikiwajibu mtawatuma polisi wawakamate.

Pia soma > TEC: Ndani ya miezi 2, zaidi ya mapadri 25, Watawa 60 wamefariki kwa tatizo la kupumua. Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu kuwajibika
 
Tuwekee nasie hiyo habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beberu lina shida awamu hii haijawahi pata tokea.
 
Nawaunga mkono Viongozi wangu wa TEC kuchukua jukumu la Mamlaka iliyo shindwa kuwatahadharisha Wananchi.

Na Serikali yenyewe, iendelee tu kuleta porojo. Kwanza haikuchaguliwa kihalali! Hivyo hakuna kinacho shangaza hapo.
 
Tunatishana Sana
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Hilo lishakuwa gazeti la kithenge na wanaolisoma na kulitilia maanani ni wangese
 
Sidhani kama linasomwaga tena na watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…