no research no right to speak. km gazeti, linatakiwa lifanye uchunguzi wake kiuhakika ndon litoe habari husika kwa walaji. ikifanyika kinyume chake ndo utasikia gazeti linafungiwa au kudaiwa fidia. lakini sbb ni magazeti ya propaganda ndo hivyo tena. kinachofurahisha sasa ni kuwa wananchi wa tz wanaelewa kila kitu na hawadanganyiki.
jamani uhuru wa habari na huolela wa vyombo vya habari ni shida :frusty:
Gazeti hili bila shaka litakuwa na uhusiano na lile jingine la UHURU!
haya si [color=8008000]yananzimshwa[/color] kwa malengo kama hayo tu kudidimiza upinzani, na unakuta yanapata ruzuku kutoka somewhere kwa sababu ukiangalia hayauziki kivile kwa hiyo hata garama ya kuyachapisha ayarudishi ndo maana yanasapotiwa na chama au watu fulani