Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,025
Kumbe baadhi ya story za magazeti ya udaku wanazitoa hapa jamvini...Hii nimethibitisha ile story ya Asprin
''Ulikuwa wapi siku zote...eeh!! wamecopy na kupaste katika gazeti la Risasi Jumatano(Juni 22-24) ukurasa wa 12
kwenye story ya ''Niliruka Ukuta nikaangukia kisiki''....!!
Hebu cheki baadhi: ''Baada ya shughuli aliniangalia usoni na kuniambia kuwa 'Dear siku zote ulikuwa wapi na umefanyaje mpaka nimepata raha hii ambayo sijawahi kuipata tangu niolewe'?''
Hawa jamaa wezi sana!! Au siku ile Babu ulikuwa pamoja na mapaparazi kwenye counta ya Juu??
''Ulikuwa wapi siku zote...eeh!! wamecopy na kupaste katika gazeti la Risasi Jumatano(Juni 22-24) ukurasa wa 12
kwenye story ya ''Niliruka Ukuta nikaangukia kisiki''....!!
Hebu cheki baadhi: ''Baada ya shughuli aliniangalia usoni na kuniambia kuwa 'Dear siku zote ulikuwa wapi na umefanyaje mpaka nimepata raha hii ambayo sijawahi kuipata tangu niolewe'?''
Hawa jamaa wezi sana!! Au siku ile Babu ulikuwa pamoja na mapaparazi kwenye counta ya Juu??