macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,804
- 39,621
Hate. Hate. Hate. Shuka kwenye nyumba kama kiota cha ndege unayoishi kwanza!Wachaga akili zenu zina funza kwl jambo dogo mnashindwa kulielewa, siwashangai Mkoa wenu unaongoza kwa watoto wenye kwashiakor. Kuona tu tangazo mmeshaaanza mambo ya ukabila. Ni jamii ipi ilikuwa haifanyi uchaguzi wa viongozi wao. Wachaga wana mafanikio gani km kabila wakati kuna wachaga wengi maskini, nenda vijijini kwao. Kule Rombo hakuna hata mwanaume wa kuchimba mtaro. Ni njaa na pombe imewamaliza. Acheni sifa za kipuuzi ndugu zenu wengi bado maskini sana kuliko hata makabila mengine.