Gazeti la HabariLeo lilivyoripoti juu ya kukamatwa mwandishi Erick Kabendera mwaka 2013

Dibo10

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,298
1,563
Screenshot_20190730-180730.png

UHAMIAJI WALIOSHUGHULIKIA SUALA LA KABENDERA WACHUKULIWE HATUA
By Unknown06:47TOA MAONI YAKO
KAMATI iliyoundwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Emmanuel Nchimbi kuchunguza tukio la kusumbuliwa kwa wazazi wa mwandishi wa habari Erick Kabendera na maofisa Uhamiaji imependekeza maofisa hao wachukuliwe hatua stahiki za kinidhamu kwani walikiuka taratibu za kazi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Augustine Shio akisoma taarifa ya kamati hiyo jana mbele ya waandishi wa habari, alisema maofisa Uhamiaji waliochunguza uraia wa Erick na wazazi wake hawakuwa makini katika kazi yao.

Shio alisema kitendo cha kukosa umakini kilisababisha malalamiko kutoka familia ya Erick, wazazi wake pamoja na vyombo vya habari.

Aliongeza kuwa uraia wa Erick, baba yake mzazi Nolosco Kabendera na mama yake Verdiana Mujwahuzi haubishaniwi kuwa wote ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa.

Lakini kamati hiyo imejiridhisha kwamba zipo kasoro za msingi za jina zilizobainika katika mchakato wa maombi ya pasipoti ya Erick iliyotolewa mwaka 2006 ambazo zilisababisha Idara ya Uhamiaji kufanya uchunguzi ili kuthibitisha taarifa za maombi hususani uraia wa mwombaji.

“Pia tumebaini kwamba Reginald Mengi hajahusika kwa namna yoyote na mchakato wa uchunguzi wa uraia wa Erick Kabendera na kuhojiwa kwa wazazi wake na Idara ya Uhamiaji,” alisema Shio ambaye ni Mkurugenzi wa Malalamiko katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Nchimbi aliunda kamati hiyo ya watu watatu Machi mwaka huu baada ya kuombwa na Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT), Idara ya Habari (Maelezo) na Jukwaa la Wahariri kuchunguza na kutafuta suluhisho la kuwepo matukio kadhaa ya uhalifu dhidi ya waandishi wa habari hapa nchini.

Katika mkutano wake na vyombo hivyo, mambo mbalimbali yaliwasilishwa lakini tukio moja la kusumbuliwa kwa wazazi wa Erick Kabendera kwa madai kuwa si raia wa Tanzania liliombwa lichunguzwe kwa maelezo kuwa kuna taarifa zisizotiliwa shaka na za kuamini kwamba watumishi wa Uhamiaji waliotumika walilipwa fedha ambazo hazikutoka katika mfumo rasmi wa Serikali bali zilitolewa na mtu mmoja zikapitia kwa ofisa wa Ikulu kwenda Uhamiaji.

Licha ya Moat, wengine ambao walilalamikia suala hilo ni waandishi wasio na mipaka pamoja na Erick mwenyewe ambao kwa nyakati tofauti waliandika barua kwenda kwa Waziri kulalamikia hatua hiyo ya Uhamiaji.

Barua hizo zilionesha kumhusisha Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi na tukio hilo hasa baada ya Erick kutoa ushahidi katika shauri la Mengi dhidi ya Sarah Hermitage katika Mahakama Kuu London, Uingereza.

Kamati hiyo pamoja na Shio, wengine walioteuliwa kwenye kamati hiyo ni Mligo Mussa kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali na Felix Wandwe mjumbe kutoka ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa (TAKUKURU).

---
Imenukuliwa kutoka HabariLeo
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari wachache humu nchini ambao ni vichwa vya ukweli hapa nchini kwetuTanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio vichwa vya ukweli na ndio wanaoweza kufanya the real investigative journalism (IJ), Erick Kabendera is one of them.

Media za Tanzania, kwanza ni media local tuu na nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio viewership, readership or circulation, hivyo haziwezi kupublish vitu concrete kama investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa na media njaa za ndani hivyo haziwi published locally as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi, hivyo huyu sio local journalist, he is an international journalist.

Kiukweli kwenye international media industry, Tanzania tuna waandishi wachache sana wa viwango vya kimataifa, Erick is one among the few and he is among the finest gold kwenye media we have. Ukiondoa Watangazaji wa Tanzania kwenye radio za kimataifa, waandishi Watanzania wenye status ya international correspondents wa international media na multinational media ninaowajua mimi, hawazidi 5 na Eric is among them.

Ila pia kwa sisi waandishi wa bongo, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli, tunapaswa kusema ukweli objectively, lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, na sio kwetu tuu, ni duniani kote.

Ukiwa mkweli sana, there is a price to pay.
Wengi mnakijua kilichomkuta Kashogi, Asange na waandishi wengi wa kimataifa, hata hapa kwetu, tulikuwa na kina Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price, hivyo hiki anachopitia Erick Kabendera is paying the price, and it depends on individual strength kuendelea kuwa mkweli and foot the bill or kiji submit na kuendelea na maisha, hata mimi pia kwa kuwa mkweli kwa kuuliza maswali yoyote kwa yeyote, I'm paying the price on my own way, mambo ninayopitia sasa, mimi na kampuni yangu ya PPR, only God knows!.

One thing I'm sure of, 100%, baadhi ya haya mambo sisi waandishi tunayofanyiwa, sio orders kutoka 'juu' na usikuje mengine hata 'juu' hayajui!. Kuna uozo fulani mahali fulani nyeti, sasa ili kuficha udhaifu, ndio wanaotoa orders za kuwashukia waandishi wenye damu ya kunguni, na kusingizia ni amri kutoka juu, kwa sababu wanajua huwezi kuuliza huko juu kwanza utafikaje wakati ngazi za kupandia ndio wamezishika wao.

Mimi kwa ninayopitia, uvumilivu ukinishinda kabisa, kuna siku nitakuja kuibuka mahali na bango na kumuuliza huyo 'juu', kama kweli ni yeye, ndiye anayetoa 'amri kutoka juu' kuwa waandishi wasema kweli watendwe hivyo wanavyotendwa?, na ukitokea kweli kuwa ni yeye, then nitakuwa sina jinsi, ni kujichukulia tuu jembe na kurejea kijijini kuwa mkulima.

Kwenye hili la Erick Kabendera, naungana na hawa #freeerickkabendera.

P
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
pole sana kwa yanayokusibu, ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. ila naona ww umekataa kulipa gharama ambayo wenzio wanailipa ya kuwa wakweli daima. kwa sasa uko kundi la kuabudu na kusifu. nahis mazto unayopitia ni njaa!! pole kaka
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Pole sana boss,kumbe ndio maana siku hizi unashinda ukisifu na kuabudu?
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Nilishawahi kujiuliza, Mbona huyu Paschal tuko naye kila siku humu? Hapitwi na habari humu, ni sababu ya kuipenda Jf tu hata kama siku hizi imejaa hoja ndogo ndogo!?

Kumbe ni kwa sababu you are paying the price!! Pole sana, yana mwisho haya!
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
And you still proclaim magu's "hollynes"!
 
View attachment 1167283

UHAMIAJI WALIOSHUGHULIKIA SUALA LA KABENDERA WACHUKULIWE HATUA
By Unknown06:47TOA MAONI YAKO
KAMATI iliyoundwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Emmanuel Nchimbi kuchunguza tukio la kusumbuliwa kwa wazazi wa mwandishi wa habari Erick Kabendera na maofisa Uhamiaji imependekeza maofisa hao wachukuliwe hatua stahiki za kinidhamu kwani walikiuka taratibu za kazi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Augustine Shio akisoma taarifa ya kamati hiyo jana mbele ya waandishi wa habari, alisema maofisa Uhamiaji waliochunguza uraia wa Erick na wazazi wake hawakuwa makini katika kazi yao.

Shio alisema kitendo cha kukosa umakini kilisababisha malalamiko kutoka familia ya Erick, wazazi wake pamoja na vyombo vya habari.

Aliongeza kuwa uraia wa Erick, baba yake mzazi Nolosco Kabendera na mama yake Verdiana Mujwahuzi haubishaniwi kuwa wote ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa.

Lakini kamati hiyo imejiridhisha kwamba zipo kasoro za msingi za jina zilizobainika katika mchakato wa maombi ya pasipoti ya Erick iliyotolewa mwaka 2006 ambazo zilisababisha Idara ya Uhamiaji kufanya uchunguzi ili kuthibitisha taarifa za maombi hususani uraia wa mwombaji.

“Pia tumebaini kwamba Reginald Mengi hajahusika kwa namna yoyote na mchakato wa uchunguzi wa uraia wa Erick Kabendera na kuhojiwa kwa wazazi wake na Idara ya Uhamiaji,” alisema Shio ambaye ni Mkurugenzi wa Malalamiko katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Nchimbi aliunda kamati hiyo ya watu watatu Machi mwaka huu baada ya kuombwa na Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT), Idara ya Habari (Maelezo) na Jukwaa la Wahariri kuchunguza na kutafuta suluhisho la kuwepo matukio kadhaa ya uhalifu dhidi ya waandishi wa habari hapa nchini.

Katika mkutano wake na vyombo hivyo, mambo mbalimbali yaliwasilishwa lakini tukio moja la kusumbuliwa kwa wazazi wa Erick Kabendera kwa madai kuwa si raia wa Tanzania liliombwa lichunguzwe kwa maelezo kuwa kuna taarifa zisizotiliwa shaka na za kuamini kwamba watumishi wa Uhamiaji waliotumika walilipwa fedha ambazo hazikutoka katika mfumo rasmi wa Serikali bali zilitolewa na mtu mmoja zikapitia kwa ofisa wa Ikulu kwenda Uhamiaji.

Licha ya Moat, wengine ambao walilalamikia suala hilo ni waandishi wasio na mipaka pamoja na Erick mwenyewe ambao kwa nyakati tofauti waliandika barua kwenda kwa Waziri kulalamikia hatua hiyo ya Uhamiaji.

Barua hizo zilionesha kumhusisha Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi na tukio hilo hasa baada ya Erick kutoa ushahidi katika shauri la Mengi dhidi ya Sarah Hermitage katika Mahakama Kuu London, Uingereza.

Kamati hiyo pamoja na Shio, wengine walioteuliwa kwenye kamati hiyo ni Mligo Mussa kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali na Felix Wandwe mjumbe kutoka ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa (TAKUKURU).

---
Imenukuliwa kutoka HabariLeo
Emmanuel Nchimhi tena?? Mengi ktk tukio.la jana??

Jamaa wanahisi mshikaji ni CIA, swala.la urai ni visingizio tu baada ya kufeli
 
Hizo price ni nani anaezipanga, kuzidai na kuzichukua?
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
"Ukiona mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo "

Pole Paskali na wengine wanao pitia magumu
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
pole mkuu..... 2025 chukua fomu tupo nyuma yako mkuu!
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

Ukweli ni vita na ni mapambano, ukichagua kuusimamia uwe tayari kwa lolote,simamia ukweli na useme ukweli kama ulivyo na uwe tayari kulipia gharama ya ukweli. Tusimamie yale tunayoyaamini na tuyazungumze, tusiufiche ukweli kwa hofu ya mamlaka, kuna Mwenye Mamlaka zaidi.
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
pole sana mkuu......
 
Back
Top Bottom