Gazeti la HabariLeo lilivyoripoti juu ya kukamatwa mwandishi Erick Kabendera mwaka 2013

Pole sana mkuu hii awamu sijui inataka isifiwe tu bila kukosolewa wakti imejaa uozo mwingi sana,unajenga miradi mikubwa huku uchumi ukiwa hoi halafu utakae wananchi wasifie tu.
Mfano mdogo ni mabilioni kujenga airport na kuzindua hifadhi huko wananchi wa mkoa huo wakiwa hoi kimaisha
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Duh, kumbe ndio maana tunashuhudia siku hizi unajitahidi sana ku "off set", Pole sana Kaka.

Back to the topic...hapo kwenye media nakuunga mkono, ni dhahiri kwamba media siku hizi zimekuwa "Watumwa" wa Makampuni.

Ni leo tu nilikuwa nasikiliza redio moja na katika mjadala mmoja mtangazaji mmoja akahoji ni kwa vipi Kigoma ipo chumvi nyingi lakini nchi bado tunaagiza chumvi kutoka nje, mara mwenzake akamkatisha haraka sana, wa kujiongeza tukajiongeza kwamba ni kuhofia kuwakera kampuni ya chumvi "clients" wenye tangazo lao la chumvi pale.

So ni kweli tusitarajie any serious issues kwa media hizi, haswa kama mjadala utakuwa unagongana na maslahi ya "client".

Sasa jiulize ni vipi kama media hiyo ina maslahi na tanesco, idara ya maji, kampuni za simu n.k.

Tusubiri tu mijadala serious ya 'Msanii fulani ana mimba' na zile zinazofanana na hizo.
 
Why journalists should pay the price if they are reporting news with prima-facie evidence .If it opposite to that then they can be sued in the court of law instead of creating scapegoat for their accusations
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Sasa nakuelewa kaka,ndo maana Pasco wa JF kaondoka na Lowassa wake,sasa yupo Paschal Mayala wa JPM.
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Pole Sana, umeandika kwa uchungu Sana comrade
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P

Pole sana mkuu, nahisi umeamua useme ukweli.
Ila kiukweli asimia kubwa ya watanzania tunapitia magumu, ingawa hayo magumu yanatofautiana kila mmoja ana magumu yake na muda ukifika kila mtu atasema.
Hata wasiojulikana wanapitia magumu na muda ukifika watasema tu.
Magumu ni kama kifo tu kila mtu yatamkuta kwa muda wake, tujipe moyo yatakwisha.
 
Hivi bado Tanganyika tuna uhitaji wa Rais dikteta? Maana kwa sasa naona kila kundi linaguswa kwenye kuisoma namba. Ni suala la zamu tu. Na wakati huo huo tukiwa hatuajingia rasmi kwenye huo mfumo zaidi ya kupasha pasha tu misuli.

Pole sana mkuu Pascall Mayalla na tasnia yote ya habari Tanzania ukiondoa tu wale waandishi wa habari wa serikali na ccm, maana hizi pole haziwahusu.
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Pole mkuu, free Erick
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Wengine watakusanifu,ila mimi huwa nakusoma kwa jicho la 3,huwa ninaelewa mabandiko yako! Watu wanahisi upo kwenye praise team ila in reality unamkosoa sana huyu papaa mkulu! Mungu akutie nguvu
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Naona Leo Mzee p umetoa yako ya moyoni na kukiri ukweli mchungu ,sasa p tusaidie sisi na nchi wanaofanya mlipe price ni kina nani ?
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P

Pole sana Kaka, kikubwa uzima
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Pole sana Pasco kama ulivyojulikana mwanzo..Tanzania hii ukiwa na akili ya ziada unaambiwa sio raia
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Unapitia mambo yepi mkuu? Au umefungwa cha nje na Ndugai?
 
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.

Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.

Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.

Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.

P
Mkuu kwani na wewe umewahi kupelekwa Mabwepande ?
 
Back
Top Bottom