Mwaka Jana nilikuwa wilaya moja mkoa Wa RUKWA akapita muuza magazeti. Japo kule Gazeti zinachelewa nikaona nichukue moja. Nikanunua Mwananchi lakini nikaona Gazeti la Uhuru, nikamuuliza hili Gazeti linanunuliwa? Akasema huwa analetewa nakala 10 tu lakini akibahatika anauza moja. Cha ajabu alichonieleza, Hata Mkuu Wa wilaya ambaye ni kada ananunua Gazeti zaidi ya 3 lakini Uhuru si mojawapo.
ACHA nikae KIMYA...!