100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,234
- 36,603
Hakuna hamas anaiba vyakula vya wananchi..Kituko hiki wapalestina wanaishi kama nguchiro, wakitegemea chakula cha msaada ambapo nacho hawakipati maana wananyang'anywa na hamas ambao nao njaa kali imewakumba halafu still unasema IDF haina uwezo wa kupambana na hamas🤣😂😅 hamas imeshindwa kupambana na IDF pamoja na kusaidiwa na Irani na magaidi wengine, Iran naye kakungutwa na gaza imebaki majivu halafu IDF imeshindwa 😅🤣😂
Unaweza kunieleza Hamas wanapata wapi silaha wanazotumia kupambana na Israel kwa miaka miwili sasa, maana Gaza yote imezungukwa kwa ulinzi mkali, hakuna kitokacho wala kinachoingia, je silaha, risasi, mabomu n.k wanapata wapi? na zenyewe wanaiba kwa wananchi?