Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni sauti. Ombaneni msamaha
View attachment 3419607
Hivi kwani Hamas WASISHINIKIZWE na Dunia waachie hao mateka Ili Israel imalize vita?

Kwanini watu wanalalama as if Israel ni vichaa wanaiboma TU Gaza bila utu?
 
Walioanza kuua wenzake ni Israel... hadi 2023 Oct 7 kabla ya uvamizi Israel ilishaua Palestinians zaidi ya laki moja toka kuingia kwake pale 1948...

Sioni hamas walichokosea ilikuwa ni sawa tu..
Basi ngoja waendelee kuuana mkuu
Na hakuna kulialia
 
Tofautisha hamas na raia wa Gaza, Israel inafanya uhalifu wa kivita kutoruhusu mashirika ya kutoa misaada kuwapa misaada wahanga wa vita...
Anayepambana na Israel ni Hamas sio raia wa Gaza... umeelewa?
Israel anavunja sheria ndio maana ICC walitoa tamko Netanyahu anafanya uhalifu wa kivita...
Oct 7 Hamas walivamia kuua na kuteka IDF au Raia yeyote wa Israel?
 
Kiongozi Hamas wameshindikana, wana viwanda vya silaha hapo hapo Gaza.. wanatengeneza hadi sniper, chakula wanacho... maroketi ya kupiga vifaru na mabomu ya kutega wanatengeneza wao na kila siku wanalipua merkava tanks..
Akili za maharage, pole
 
Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni sauti. Ombaneni msamaha
View attachment 3419607
Wakulaumiwa hapa ni Iran maana walipata nafasi ya kuwasaidia watu wa gaza ila wakapuuzia kuitumia.
 
Oct 7 Hamas walivamia kuua na kuteka IDF au Raia yeyote wa Israel?
Toka 1948 hadi 2023 Oct 7 Israel imeaua zaidi ya raia 100,000 wa Palestine, kuna ubaya gani walipovamia na kuua raia wa Israel? ilikuwa ni lugha pekee taifa la mchongo la kiyahudi wangeelewa...

Miaka yote wanapinga na kupaza sauti hawasikilizwi, tena Hamas wavamie tena waue 5000...
 
Toka 1948 hadi 2023 Oct 7 Israel imeaua zaidi ya raia 100,000 wa Palestine, kuna ubaya gani walipovamia na kuua raia wa Israel? ilikuwa ni lugha pekee taifa la mchongo la kiyahudi wangeelewa...

Miaka yote wanapinga na kupaza sauti hawasikilizwi, tena Hamas wavamie tena waue 5000...
Toka 1948 Palestine wamekua wakikataa mapendekezo yote ya kugawana aridhi Hadi Israel walipoa amua kijitangazia nchi Yao.

Kuanzia wakati huo Wapalestina wakatangaza JIHAD kuwaondoa Waisrael badala ya kujikita na uanzishaji wa Taifa lao.
Hiyo Jihad ndio chanzo Cha haya yote
 
Hivi kwani Hamas WASISHINIKIZWE na Dunia waachie hao mateka Ili Israel imalize vita?

Kwanini watu wanalalama as if Israel ni vichaa wanaiboma TU Gaza bila utu?
Vichwa. Ngumu
 
Nafasi ipi Iran walipata?
Iran kuingia vitani na Israel ilikua ni njia sahihi ya kuwasaidia watu wa gaza haijalishi iran ingepoteza kila kitu au watu wake wote ila ingeandika historia kwa vizazi vijavyo kuwa ilisaidia watu wa gaza kuondokana na mateso ya myahudi.

Kolabo ya iran= Iran yenyewe, iraq, syria, yemen na lebanoni ilitosha kulifutilia mbali taifa la israel haijalishi hata dunia nzima tungekua vitani.

Iran kupitia ayatolah ali kamenei wamekosea sana
 
Kiufupi ni kwamba IDF imeshindwa vita na Hamas...
Kama wanapambana na Hamas wapambane huku raia wakipata misaada.. IDF huko Gaza askari wake kila siku wanapigwa ambush na kuuawa na Hamas...

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper wa Hamas, hii ni huu mwezi, hizi sniper wanazitengeneza hapo hapo Gaza..

View: https://www.youtube.com/watch?v=_gTlGhnqJo0

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper..

View: https://www.youtube.com/watch?v=t7IlnkNVk9I


Askari wa IDF wanavyomalizwa, hii video week mbili zimepita Khan Yunus..


View: https://www.youtube.com/watch?v=6xn5BNXmrOo



Hii vita IDF imeshindwa...

Sawa idf na Palestine za nini wakati CONGO NA SUDANI Kuna migogoro na hatuisemei chochote ww unayeona IDF imeshindwa sawa
 
Iran kuingia vitani na Israel ilikua ni njia sahihi ya kuwasaidia watu wa gaza haijalishi iran ingepoteza kila kitu au watu wake wote ila ingeandika historia kwa vizazi vijavyo kuwa ilisaidia watu wa gaza kuondokana na mateso ya myahudi.

Kolabo ya iran= Iran yenyewe, iraq, syria, yemen na lebanoni ilitosha kulifutilia mbali taifa la israel haijalishi hata dunia nzima tungekua vitani.

Iran kupitia ayatolah ali kamenei wamekosea sana
Hawana umoja ni kama watanzania
 
Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni sauti. Ombaneni msamaha
View attachment 3419607
 
Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni sauti. Ombaneni msamaha
View attachment 3419607
Vipi umemaliza kupaza sauti kwenye nchi yako juu ya utekaji unaofanywa na makada wa CCM na CHADEMA,MAJAMBAZI,POLISI na watu wa usalama.Vipi kuhusu wastaafu wa vyombo vya ulinzi na usalama kuhusika kisiasa kwa kuwatumia maaskari waliopo madarakani,uchumi kuyumba,elimu chafu ndio maana wasomi hawakui kifikra.Au unatizama ya wenzako ambako si ajabu hata kufika hujawahi.
 
Hivi kwani Hamas WASISHINIKIZWE na Dunia waachie hao mateka Ili Israel imalize vita?

Kwanini watu wanalalama as if Israel ni vichaa wanaiboma TU Gaza bila utu?
We unaamini malengo ya Israel pale Gaza ni mateka? No! Hukumbuki Trump alisema yupo tayari kuwatafutia eneo jingine Wapalestina zaidi Milion 2 wakaishi sehemu nyingine ila Gaza watoke? Basi jua lengo ni kuhakikisha kizazi chote cha Palestina kitoke lile eneo na Israel waichukue ardhi yote.

Ukipata mda soma kitu kinaitwa "The Grea Israel" hiki kitu ata Netanyahu aliwahi kuingianacho kwenye mkutano wa umoja wa mataifa (UNGA) Ramani ilikuwa inaonesha hakuna sehemu inaitwa Palestina.

Kwaiyo hiki kinachoendelea Gaza jua pia kinaendelea Western Bank pia, kila siku huko western bank raia wa Palestina wanauawa na jeshi la Israel! Kimsingi ili wazo la Great Israel haliajaanza leo wala jana ila lina miaka.


Screenshot_2025-07-28-20-46-03-12_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Toka 1948 Palestine wamekua wakikataa mapendekezo yote ya kugawana aridhi Hadi Israel walipoa amua kijitangazia nchi Yao.

Kuanzia wakati huo Wapalestina wakatangaza JIHAD kuwaondoa Waisrael badala ya kujikita na uanzishaji wa Taifa lao.
Hiyo Jihad ndio chanzo Cha haya yote
Unajua kitu kinaitwa Oslo accords? Basi ulikuwa mkataba wa amani kati ya Palestina na Israel kipindi hicho PM wa Israel ni Yitzhak Rabin na Palestina ikiwakilishwa na Yessir Arafat lakini makubaliano yalikuja kuvunjika mara baada Rabin (ISRAEL PM) Kuuawa na Waisrael wenzake wakioponga mkataba wa makubaliano hayo..

1948 UN ilimteua Count Folke Bernadotte kwenda Palestina kufanya usuruhishi, Count alikuwa na CV nzuri cos aliweza kusadia Wayahudi waliokuwa mateka maeneo ya Ukraine na Poland katika WW2 kuachiwa, Kutokana na CV hiyo UN waliona Wayahudi watamsikiliza kumbe wapi! Mwakilishi huyu alipotoa mapendekezo ya kuchorwa upya kwa Ramani ya Palestina na Israel ili kuundwa kwa state 2, na raia wa Palestina walihamishwa kwa nguvu kurudi katika ardhi yao aliuawa na Wayahudi! Unafikiri kwa bahati mbaya? Hapana ni makusudi wayahudi ni watu wakatili sana.
 
Kiufupi ni kwamba IDF imeshindwa vita na Hamas...
Kama wanapambana na Hamas wapambane huku raia wakipata misaada.. IDF huko Gaza askari wake kila siku wanapigwa ambush na kuuawa na Hamas...

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper wa Hamas, hii ni huu mwezi, hizi sniper wanazitengeneza hapo hapo Gaza..

View: https://www.youtube.com/watch?v=_gTlGhnqJo0

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper..

View: https://www.youtube.com/watch?v=t7IlnkNVk9I


Askari wa IDF wanavyomalizwa, hii video week mbili zimepita Khan Yunus..


View: https://www.youtube.com/watch?v=6xn5BNXmrOo



Hii vita IDF imeshindwa...

Huu ndiyo ujinga wa Wafuga Midevu na Majini!!!! Unafurahia kuuwawa kwa askari watatu wa Israel, Wakati huo huo kuna wapalestina zaidi ya 100 wameuwawa.

Ulivyo mjinga hata hujui kuwa toka vita hivi vianze Oct 07,2023 kuna Magaidi wa kipalestina zaidi ya 57,000 wameangamizwa na wewe hujui hii inaonyesha wazi kuwa wewe ni zuzu usiyejua kitu!!!
 
We unaamini malengo ya Israel pale Gaza ni mateka? No! Hukumbuki Trump alisema yupo tayari kuwatafutia eneo jingine Wapalestina zaidi Milion 2 wakaishi sehemu nyingine ila Gaza watoke? Basi jua lengo ni kuhakikisha kizazi chote cha Palestina kitoke lile eneo na Israel waichukue ardhi yote.

Ukipata mda soma kitu kinaitwa "The Grea Israel" hiki kitu ata Netanyahu aliwahi kuingianacho kwenye mkutano wa umoja wa mataifa (UNGA) Ramani ilikuwa inaonesha hakuna sehemu inaitwa Palestina.

Kwaiyo hiki kinachoendelea Gaza jua pia kinaendelea Western Bank pia, kila siku huko western bank raia wa Palestina wanauawa na jeshi la Israel! Kimsingi ili wazo la Great Israel haliajaanza leo wala jana ila lina miaka.


View attachment 3422057
Hii ni fake news!!! Endelea tu kutulisha Matango Pori!!
 
Walioanza kuua wenzake ni Israel... hadi 2023 Oct 7 kabla ya uvamizi Israel ilishaua Palestinians zaidi ya laki moja toka kuingia kwake pale 1948...

Sioni hamas walichokosea ilikuwa ni sawa tu..
Kama unaunga mkono mauaji ya Oct 07,2023 basi endelea kufurahia pia kuangamizwa kwa Wapalestina zaidi ya 57,000!!!!
 
Back
Top Bottom