little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 556
Hiv kuna chakula ambacho kinaweza saidia IQ ya mtu kukua...?Bwana huyu jamaa sijuii anaongea vitu gani maana hela zimewekwa fixed alafu anasema zinaongeza mzunguko jaman jaman muachen rais bhana ajakosea hata kidogo hapo kati ya huyo gavana na raisi gavana ndio anafanya pesa isitufikie huku
mbona kama huyu ndio kaingizwa cha kike mazima mazimaTulitaka Rais 'asiepotoshwa' na Wasaidizi wake sasa kapatikana tusiwe Vigeugeu.
Huyu hapa ni bavicha kumbeBavicha ni mawakala wa mafisadi
ila mara nyingi yuko sahihi,kama lile suala la VAT kwenye miamala.Alisema ukweli na ndivyo ilivyokuwa,TRA wao walipotosha kumfurahisha Rais lakini Ndulu akasema ukweli kuwa gharama zitabebwa na mtumiaji na si mabank.kweli kabisaa anatudanganya vitu ambavyo mtu kujua kama anadanganywa sio mpaka afauli darasa la nne ili kujua kama anatudanganya
Wewe na huyo unayemwamini inamaana mnajua zaidi mambo ya uchumi kuliko Ndulu?Huyu ndulu anatuyumbisha sana,sikuzote huwa anajibu majibu mepesi bila kuangalia athali za anachojibu
Seleboy2010 soma hii comment utaelewa.Nimesoma comment yako mpaka nikashika kichwa,yaani mawazo yako fixed deposit pesa inakaa tu bank imewekwa.Fixed deposit kwa maana nyingine una ikopesha bank kwa certain rate of interest ....
Nayo bank inachukua hiyo hela na kuweka interest ya juu kidogo then inakopesha wateja wake... hapo mzunguko wa hela unapatikana....
Hakuna hela inayokaa kwenye account alafu ijizalishe... HAKUNA.....
Mkuu si umeshasema OUT! Ila kumbuka hata UDSM wakati akiwaita vijana wetu vi.. L... a... za walishangilia mkuu, siku hizi vijana wetu walioko vyuo vikuu ni magonjwa Mtambuka!!!Wengine tukipinga tuogopa kufanyiwa ya Lema. Nilishangaa speech ile kuitolea kwa wasomi wale Wa OUT na wao wakawa wanashangilia uamuzi ule; Nilishangaa sana.
Kwa nini mkuu?Ki-ungwana Gavana anatakiwa kujiudhulu/kujiuzulu nafasi yake kwa kauli hii.
Du ndg yangu, yaani wewe hujui kuwa zinapowekwa FD kwenye benki hazifungiwi kwenye makabati Bali zinatumika kuwakopesha wanananchi na viwanda wanaokuja kukopa.Bwana ndulu Fedha za Mradi zikiwekwa Fixed Account mzunguko wa fedha unahusikia vip maana hapo mimi navyojua hela zikiwa fixed hazitoki baada ya muda kazaa sasa huo muda tutazipata vip hizo fedha zituzungukie?
Kamilisha hoja kwa kutaja/kueleza huo uongoBavicha kwa uongo hawajambo
Rais hana idea na mambo ya uchumi, lakini nadhani na washauri wake wa mambo ya uchumi watakua vihio au ndio wale wale.Kwa mara nyingine tena Gavana wa benki kuu ya Tanzania Prof. Beno Ndulu amegongana tena angani na rais Magufuli.
Wakati rais Magufuli akiwa amepiga marufuku Mashirika ya Umma kuwa na akaunti maalum kwenye mabenki ya biashara, Gavana huyo wa BoT amesema hakuna kosa lolote kuwa na akaunti hizo zijulikanazo kama "fixed deposit" huku akisisitiza kuwa ni vigumu faida itokanayo na fedha hizo kuingia mifukoni mwa wachache.
Gavana huyo wa BoT ni miongoni mwa wajumbe wa iliyokuwa bodi ya wakurugenzi wa TRA ambao walifungua akaunti maalum kwa ajili ya fedha za miradi ya TRA kwenye mabenki ya biashara zaidi ya Tshs. Bilioni 8. 5 ambapo kitendo hicho kilimkasirisha rais Magufuli na kuamua kuivunja bodi hiyo.
Kitendo cha rais Magufuli kuzuia mashirika ya umma kuwa na akaunti maalum kwenye mabenki ya biashara kimetajwa kuwa na madhara makubwa ambapo ndicho hasa kilichoathiri mzunguko wa fedha na kuporomoka kwa uchumi.
Wengine tukipinga tuogopa kufanyiwa ya Lema. Nilishangaa speech ile kuitolea kwa wasomi wale Wa OUT na wao wakawa wanashangilia uamuzi ule; Nilishangaa sana.
Ndio wasomi wetu mkuu unategemea wale wakipewa kitengo si yatakua yale yale ya kina ndio mzeeWengine tukipinga tuogopa kufanyiwa ya Lema. Nilishangaa speech ile kuitolea kwa wasomi wale Wa OUT na wao wakawa wanashangilia uamuzi ule; Nilishangaa sana.
Kwani fedha zikiwekwa fixed unadhani benki wanazifungia ndani,zinazungushwa,zinakopeshwa zinaleta faida,acha umbumbumbuBwana huyu jamaa sijuii anaongea vitu gani maana hela zimewekwa fixed alafu anasema zinaongeza mzunguko jaman jaman muachen rais bhana ajakosea hata kidogo hapo kati ya huyo gavana na raisi gavana ndio anafanya pesa isitufikie huku