tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wadau nusu saa iliyopita hapa tunduru gari ya polisi ambayo ilikuwa ikiendeshwa kwa kasi ya ajabu imepinduka na kuua askari mmoja wa kike anaetambulika kwa jina la mere{marry}kutoka ktk idara ya upelelezi (c.i.d)
Wapi huko?
kusoma nako ni shida?