Gari ya polisi yaanguka na kuua askari.

Gari ya polisi yaanguka na kuua askari.

Watunduru

Senior Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
170
Reaction score
39
Wadau nusu saa iliyopita hapa tunduru gari ya polisi ambayo ilikuwa ikiendeshwa kwa kasi ya ajabu imepinduka na kuua askari mmoja wa kike anaetambulika kwa jina la mere{marry}kutoka ktk idara ya upelelezi (c.i.d)
 
hii nayo ni breaking news jamani ???
 
Wadau nusu saa iliyopita hapa tunduru gari ya polisi ambayo ilikuwa ikiendeshwa kwa kasi ya ajabu imepinduka na kuua askari mmoja wa kike anaetambulika kwa jina la mere{marry}kutoka ktk idara ya upelelezi (c.i.d)

Pengo lake halitaweza kuzibika
 
hii nayo ni breaking news jamani ???
 
Bwana alitoa,mwendokasi wa gari umetwaa.JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
 
si wanaonaga wao ndo wao,hakuna wa kuwazuia,wanakwenda spid wanazotaka
haya ndo mavuno.
RIP wote waliotangulia mbele ya haki
 
Ee mwenyezi Mungu wamalize polisi na TISS wote ili watanzania wapate uhuru wa kweli! Nikikumbuka walivyotufanyia UDSM na ktk uchaguzi wa 2015 ni bora tu waangamie.
 
Back
Top Bottom