Gari ya Henry Ford

Gari ya Henry Ford

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,931
Reaction score
828,586
Henry Ford alitengeneza gari kutoka kwenye mchanganyiko wa plastiki na katani ambayo ilitumia mafuta ya katani karibu karne moja iliyopita.
Ford's 1941 bioplastic Model T ilitengenezwa kwa kutumui katani, kitani, ngano, na spruce massa, ambayo ilifanya gari nyepesi kuliko fiberglass lakini imara mara kumi zaidi kuliko chuma,

Makala hii iliandikwa na New York Times mnamo Februari 2, 1941. Gari hilo lilikuwa linatumia mafuta ya ethanol iliyotengenezwa kutoka kwenye mabaki ya katani au taka nyingine za kilimo.
1744762068360.jpg
 
Zamanii sana. Nakumbuka nimewahi soma kitabu cha Ben Walsh cha Modern World history 2nd edition. Kwenye moja ya subtopic ya hiki kitabu kinaelezea anguko la kiuchumi duniani na wall street stock market crash huko u.s mwaka 1929. Moja ya kampuni iliyoathirika pamoja na hisa zake ni Hii ya Henry ford.
 
Hizi gari kwa sasa kupata mtu anaimiliki ni ngumu sana.
Lakini unaweza kuona kuna vitu tunadhani tumevigundua sasa kumbe tayari kuna waliotutangulia walishavigundua kitambo sana
Sijui kwanini mpaka leo tunashindwa kuwekeza kwenye mabaki ya katani maana kuna vingi sana
Mafuta ya ethanol
Sukari guru
Pombe Kali
Mbolea
Gesi
Chakula cha mifugo nknk
 
Henry Ford alitengeneza gari kutoka kwenye mchanganyiko wa plastiki na katani ambayo ilitumia mafuta ya katani karibu karne moja iliyopita.
Ford's 1941 bioplastic Model T ilitengenezwa kwa kutumui katani, kitani, ngano, na spruce massa, ambayo ilifanya gari nyepesi kuliko fiberglass lakini imara mara kumi zaidi kuliko chuma,

Makala hii iliandikwa na New York Times mnamo Februari 2, 1941. Gari hilo lilikuwa linatumia mafuta ya ethanol iliyotengenezwa kutoka kwenye mabaki ya katani au taka nyingine za kilimo.
View attachment 3305841
Nipe lift bro
 
Lakini unaweza kuona kuna vitu tunadhani tumevigundua sasa kumbe tayari kuna waliotutangulia walishavigundua kitambo sana
Sijui kwanini mpaka leo tunashindwa kuwekeza kwenye mabaki ya katani maana kuna vingi sana
Mafuta ya ethanol
Sukari guru
Pombe Kali
Mbolea
Gesi
Chakula cha mifugo nknk
Watawala wetu ndio hao wamawaza kununua v8 na kumiliki michepuko kadhaa dsm na Dodoma and nothing else
 
Back
Top Bottom