Car4Sale Gari Toyota Raum inauzwa- Mwanza

BMW 1 Series, inauzwa, Tsh 15 milion.

Ina miezi saba tu toka inunuliwe

Kilometre 95,856

Engine capacity: 1590 CC
Engine type: Petrol

Colour: black

Seat capacity: 5
people, Milango mitano.

Kadi ya gari ipo
Bima ipo

Location: Temeke Mikoroshini

Tuwasiliane kwa 0744033555 tuma sms au piga simu nikutumie picha zaidi whatsapp
1 series 15 M? Mwaka gani??
 
Dah watu wa humu wanajua kukatisha tamaa sana mmh! Kuna gari zinakuwa zimetunzwa vizuri na bado imara kuliko hizo namba D. Mimi mwenyewe nauza spacio yangu namba C na bado iko imara zaidi. Ila sitafuata hizo bei za kukatisha tamaa.
Ingekuwa hivyo basi barabarani tusingekuwa tunaona hata namba A, B, C. Kuna gari nyingine zina namba za zamani ila bado ziko vizuri kabisa. Ebu tuache kukatishana tamaa. Unapoongea maneno ya kuvunja moyo, wewe binafsi unafaidika na nini zaidi ya kumuharibia mwenzako bahati yake? Grow up
 
Dah watu wa humu wanajua kukatisha tamaa sana mmh! Kuna gari zinakuwa zimetunzwa vizuri na bado imara kuliko hizo namba D. Mimi mwenyewe nauza spacio yangu namba C na bado iko imara zaidi. Ila sitafuata hizo bei za kukatisha tamaa.
Ingekuwa hivyo basi barabarani tusingekuwa tunaona hata namba A, B, C. Kuna gari nyingine zina namba za zamani ila bado ziko vizuri kabisa. Ebu tuache kukatishana tamaa. Unapoongea maneno ya kuvunja moyo, wewe binafsi unafaidika na nini zaidi ya kumuharibia mwenzako bahati yake? Grow up
hajakatishwa tamaa kaambiwa ukweli

ni ngumu kuuza old model namba c
kwa bei ya new model namba D.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom